Mliopo kigoma,Songea na mwanza ni vp heb tupen uhakika et wametoa kwenu huko jaman? .WA KANDA YA MBEYA N VIP MBONA HATUZUNGUMZI TUJULISHEN MLIOPO HAPO MBEYA.
Mwanza wamebandka ya certificate tu,but wamesema diploma watabandka anytym
nawa kanda ya kati ya kati vpi mbona hii wizara iko hvyo
angalien kwenye web yao, meng washaeka tayar
Sor, cmu yangu haina pdf km unaweza nsaidia kuangalia Mwita M Nyakihentani nisaidie.