Kikosi cha wanamaji Tanzania kazi yake ni kupiga gwaride tu nyakati za sikukuu?!

watanganyika kwa kupenda kulialia na mabingwa wa kusahau...hamkumbuki juzi kuna mtoto alizama kwenye kibwawa waokoaji wetu wakatafuta takribani siku 2 bila mafanikiao ndipo wakazi wa kitogoji hicho wakatafuta vijana wao hakuchukua hata dakika 30 wakapa mwili mtoto aliekuwa amezama...eti waokoaji mivitambi ndiii
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mh..tuwe makini tunapotoa lawama jamani.
umakini upi, wa kushindwa kuokoa miili ya wazanzibar kwenye ajari ya mv bukoba tuliwaelewa lakini mpaka leo hawajajifunza au hawajanunua vifaa si wakackukue kwenye akauti ya shimbo pesa kidogo wanunue vifaa vinavyotakiwa au kwenye meremeta..ccm wasitufanye watanganyika wajinga kiasi hicho wa wajari maisha yetu si mimba zao maana vitambi vyao ni zaidi ya vitambi
 
Ajali ilotokea nungwi meli imezama kwenye kina kirefu sana. Hakuna vifaa vya kusaidia kikosi kufanya kazi yake. Thats why hata s/african divers wameshindwa.

in red sio kweli mkuu!!!kwanza jiulize hao watu walionusurika Nungwi waliokolewa vp?
 
in red sio kweli mkuu!!!kwanza jiulize hao watu walionusurika Nungwi waliokolewa vp?
Ukweli ni kuwa hakuna hata vifaa vya kukadiria ni kina gani pia jeshi hili halina. Limeomba msaada hata bila kutoa makadirio halisi ya kina. Zi wapi pesa za meremeta? si meremeta ilianzishwa kama mradi wa kununulia vifaa vya kijeshi au?
 
Hali hii inaashiria kuwa adui akituvamia sasa hivi, akafichama mita 300 baharini hatumwezi. Atakuwa anaibuka na kutupiga tuu, maana hatuna uwezo wa kumfuata huko
 
Hali hii inaashiria kuwa adui akituvamia sasa hivi, akafichama mita 300 baharini hatumwezi. Atakuwa anaibuka na kutupiga tuu, maana hatuna uwezo wa kumfuata huko

Its true. Lakini si tunaambiwa ili kuficha siri za jeshi kujulikana kwa watu wote. Labda wanaficha siri. 50yrs hoyee!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom