Kikombe cha babu ni zaidi, kansa yagaragazwa na Daktari bingwa Marekani abaki speechless !

Mag3

Platinum Member
May 31, 2008
13,064
22,757
It is confirmed !

Mgonjwa moja kutoka Marekani ambaye hakupewa nafasi yoyote ya kuendelea kuishi na madaktari zaidi ya watatu Marekani, hivi sasa kapona baada ya kupata kikombe cha Babu Loliondo. Huyu mgonjwa ambaye alisafiri kutoka Marekani akiwa kwenye kinachoitwa "wheel-chair" kwa kuzidiwa sana, karudi mzimaa na anatembea bila msaada wowote ule na kumwacha mdomo wazi daktari wake aliyekuwa anamtibu. Baada ya kuchukua vipimo vyote kama kawaida daktari hakuwa na kusema isipokuwa maneno yanayofanana na haya, "whatever it is that you are doing to your body, keep on doing it"

Mungu aliyemwongoza Babu wa Loliondo lazima avuliwe kofia kwani huyu atakuwa mgonjwa wa kwanza kutoka nje ya nchi kupimwa kabla na baada ya kunywa kikombe na kuthibitika amepona. Pia nasikia mpaka sasa ameweza kutoa ushuhuda kanisani na mbele ya ndugu na marafiki zake waliokuwa wakimhudumia na kumpa msaada kwa wakati wote aliokuwa akiumwa. Hizi ni habari nzito na namwomba kama kuna mwenye taarifa zaidi kuhusu tukio hili ambalo limefungua ukurasa mpya si hapa Tanzania tu bali dunia nzima aendelee kutufahamisha zaidi. Mods nawaomba muiache hii thread hapa kwa muda.

Kofia avuliwe Mungu
!
 
Mkuu wangu mbona hizi habari za babu na tiba yake hazijawahi kuzungumziwa hata siku moja huku majuu?...Nimekuwa nikitazama channel kibao, magazeti na kadhalika lakini sikuti habari nzuri inayozungumzia tiba ya babu na karibu mwaka sasa unayoyoma.
Kama kweli maneno yako unaweza kutupa site yenye madai haya maanake kusema mgonjwa alishindikana Marekani ni rahisi ktk upakaji mafuta mgongo (Massage) kutulainisha.
 
Kwani wewe umezitoa wapi hizi taarifa?Weka source mkuu,siyo kutuuliza siye.Vinginevyo ungekamilisha kabisa habari yako kabla hujaileta hapa.
Watu bado mnaamini ujinga wa loliondo tu,kaaazi kwelikweli!
 
It is confirmed !Mgonjwa moja kutoka Marekani ambaye hakupewa nafasi yoyote ya kuendelea kuishi na madaktari zaidi ya watatu Marekani, hivi sasa kapona baada ya kupata kikombe cha Babu Loliondo. Huyu mgonjwa ambaye alisafiri kutoka Marekani akiwa kwenye kinachoitwa "wheel-chair" kwa kuzidiwa sana, karudi mzimaa na anatembea bila msaada wowote ule na kumwacha mdomo wazi daktari wake aliyekuwa anamtibu. Baada ya kuchukua vipimo vyote kama kawaida daktari hakuwa na kusema isipokuwa maneno yanayofanana na haya, "whatever it is that you are doing to your body, keep on doing it" Mungu aliyemwongoza Babu wa Loliondo lazima avuliwe kofia kwani huyu atakuwa mgonjwa wa kwanza kutoka nje ya nchi kupimwa kabla na baada ya kunywa kikombe na kuthibitika amepona. Pia nasikia mpaka sasa ameweza kutoa ushuhuda kanisani na mbele ya ndugu na marafiki zake waliokuwa wakimhudumia na kumpa msaada kwa wakati wote aliokuwa akiumwa. Hizi ni habari nzito na namwomba kama kuna mwenye taarifa zaidi kuhusu tukio hili ambalo limefungua ukurasa mpya si hapa Tanzania tu bali dunia nzima aendelee kutufahamisha zaidi. Mods nawaomba muiache hii thread hapa kwa muda.
Kofia avuliwe Mungu !​
Mkuu, Source tupe ingekuwa vizuri utupe jina la huyo Daktari bingwa ili tuwasiliane nae kujua zaidi
 
Source: Umbeya na uzushi atakuja kusema ni ushuhuda. Niliangalia documentary moja CNN na Dr moja gwiji pale aliiponda ile mbaya tiba za asilia za Tanzania (ikiwamo ya babu) akisema mara nyingi hazifanyi kazi inavyotegemewa.
 
Huyo Mgonjwa hana jina?
Daktari wake pia hana jina?
Hata Hosiptali iliyompima haina jina?
Hizi habari bila uthibitisho zinakera wajameni..
Unafiki huu unaleta hapa..
 
Acha porojo bana, hebu lete ufafanuzi wa maswali ambayo watu waliotangulia wameuliza.......
 
Acha fixi!
Uongo wa Babu umekwisha kudhihirika. Hatuwezi kudanganywa tena. Kansa ya Marekani ndiyo ipone wakati waTZ wengi wenye Kansa wamepiga kikombe na kurudi tupu! Babu siku hizi hana wateja amerudia kazi yake ya Ujenzi wa nyumba (Source: Mwananchi 29.5.11 Picha Front Page). Kwa hiyo hii ni mbinu ya kupeleka wateja wapya kwake. Tumeshituka! Babu ni tapeli, apotelee mbali!
 
It is confirmed !Mgonjwa moja kutoka Marekani ambaye hakupewa nafasi yoyote ya kuendelea kuishi na madaktari zaidi ya watatu Marekani, hivi sasa kapona baada ya kupata kikombe cha Babu Loliondo. Huyu mgonjwa ambaye alisafiri kutoka Marekani akiwa kwenye kinachoitwa "wheel-chair" kwa kuzidiwa sana, karudi mzimaa na anatembea bila msaada wowote ule na kumwacha mdomo wazi daktari wake aliyekuwa anamtibu. Baada ya kuchukua vipimo vyote kama kawaida daktari hakuwa na kusema isipokuwa maneno yanayofanana na haya, "whatever it is that you are doing to your body, keep on doing it" Mungu aliyemwongoza Babu wa Loliondo lazima avuliwe kofia kwani huyu atakuwa mgonjwa wa kwanza kutoka nje ya nchi kupimwa kabla na baada ya kunywa kikombe na kuthibitika amepona. Pia nasikia mpaka sasa ameweza kutoa ushuhuda kanisani na mbele ya ndugu na marafiki zake waliokuwa wakimhudumia na kumpa msaada kwa wakati wote aliokuwa akiumwa. Hizi ni habari nzito na namwomba kama kuna mwenye taarifa zaidi kuhusu tukio hili ambalo limefungua ukurasa mpya si hapa Tanzania tu bali dunia nzima aendelee kutufahamisha zaidi. Mods nawaomba muiache hii thread hapa kwa muda.
Kofia avuliwe Mungu !​
Source? Ni uongo.
 
Sijajua ni kwanini haya mambo ya huyu Mzee pia yana kuwa Politics!!
 
Mkuu wangu mbona hizi habari za babu na tiba yake hazijawahi kuzungumziwa hata siku moja huku majuu?...Nimekuwa nikitazama channel kibao, magazeti na kadhalika lakini sikuti habari nzuri inayozungumzia tiba ya babu na karibu mwaka sasa unayoyoma. Kama kweli maneno yako unaweza kutupa site yenye madai haya maanake kusema mgonjwa alishindikana Marekani ni rahisi ktk upakaji mafuta mgongo (Massage) kutulainisha.
Ndio hivyo zinazungumziwa, na jamaa (mmarekani) kapona. Tusiwe tunapinga kila kitu!
 
Wacha Marekani mimi nina colleague wangu alikuwa ameonekana Ana lung cancer baada ya kufanyiwa vipimo pale Milan Italy mwaka 2010 Novemba. Mwezi February 2010 alipata kikombe cha babu na mwezi April akawa kijazi pale St Petersburg nchini Russia na vipimo vimeonyesha hana cancer
 
Wakuu hiyo tiba ya babu inashangaza sana!binafs sijapata kuona mtu aliepona!though naamini watu wanapona!ila kuna mlinzi tuko nae ofsn alipata stroke!mwenyewe nimemgharimia nauli ya kwenda kwa babu ndio naangalia afya yake!akichangamka kama zamani ndio ntaamini!kwa sasa ngumu kumeza kidogo.
 
Mimi nina mtu wa karibu aliyekwenda Loliondo, alikuwa natatizo la sukari, anaseme kwamba anajisikia vizuri, acha tuzidi kumwomba Mungu.
 
It is confirmed !

Mgonjwa moja kutoka Marekani ambaye hakupewa nafasi yoyote ya kuendelea kuishi na madaktari zaidi ya watatu Marekani, hivi sasa kapona baada ya kupata kikombe cha Babu Loliondo. Huyu mgonjwa ambaye alisafiri kutoka Marekani akiwa kwenye kinachoitwa "wheel-chair" kwa kuzidiwa sana, karudi mzimaa na anatembea bila msaada wowote ule na kumwacha mdomo wazi daktari wake aliyekuwa anamtibu. Baada ya kuchukua vipimo vyote kama kawaida daktari hakuwa na kusema isipokuwa maneno yanayofanana na haya, "whatever it is that you are doing to your body, keep on doing it"

Mungu aliyemwongoza Babu wa Loliondo lazima avuliwe kofia kwani huyu atakuwa mgonjwa wa kwanza kutoka nje ya nchi kupimwa kabla na baada ya kunywa kikombe na kuthibitika amepona. Pia nasikia mpaka sasa ameweza kutoa ushuhuda kanisani na mbele ya ndugu na marafiki zake waliokuwa wakimhudumia na kumpa msaada kwa wakati wote aliokuwa akiumwa. Hizi ni habari nzito na namwomba kama kuna mwenye taarifa zaidi kuhusu tukio hili ambalo limefungua ukurasa mpya si hapa Tanzania tu bali dunia nzima aendelee kutufahamisha zaidi. Mods nawaomba muiache hii thread hapa kwa muda.

Kofia avuliwe Mungu
!

Hebu acha kamba za migomba wewe! Huyo Mgonjwa jina lake ni nani? Habari kama hii ingekuwa kwenye kila scientific journal....The Lancet, Science na hata Nature. Babu huyo anagawa Placebo na muuwaji mkubwa. Tanzania taifa la wajinga ingebidi awe amekamatwa huyo babu na kufungwa kwa kufanya mazingaobwe yasiyo na tija.

Babu asimamishwe jamani!
 
Hebu acha kamba za migomba wewe! Huyo Mgonjwa jina lake ni nani? Habari kama hii ingekuwa kwenye kila scientific journal....The Lancet, Science na hata Nature. Babu huyo anagawa Placebo na muuwaji mkubwa. Tanzania taifa la wajinga ingebidi awe amekamatwa huyo babu na kufungwa kwa kufanya mazingaobwe yasiyo na tija.
Babu asimamishwe jamani!

Jaribuni tena kusoma nilichoandika kama "Great Thinkers" kuwa daktari aliyekuwa anamtibu amempima amebaki anashangaa hajui ugonjwa umepotelea wapi ! Of course and for very obvious reasons daktari hajaambiwa kuwa mgonjwa alisafiri hadi Loliondo kwa babu kupata kikombe !

Mpaka sasa ndugu, marafiki na waumini ndio wanajua kwa nini mtu ambaye alishinda kitandani kwa miezi kadhaa ghafla sasa anatembea na kufanya shughuli zake kama kawaida. Naambiwa waliangusha hata pati la nguvu kushukuru - ukweli ndio huo, take it or leave it !
 
Jaribuni tena kusoma nilichoandika kama "Great Thinkers" kuwa daktari aliyekuwa anamtibu amempima amebaki anashangaa hajui ugonjwa umepotelea wapi ! Of course and for very obvious reasons daktari hajaambiwa kuwa mgonjwa alisafiri hadi Loliondo kwa babu kupata kikombe !

Mpaka sasa ndugu, marafiki na waumini ndio wanajua kwa nini mtu ambaye alishinda kitandani kwa miezi kadhaa ghafla sasa anatembea na kufanya shughuli zake kama kawaida. Naambiwa waliangusha hata pati la nguvu kushukuru - ukweli ndio huo, take it or leave it !

Invisible BAN This Guy, Hiyo sio sehemu ya kuandika uongo na Delete kabisa hii post mods
 
Jaribuni tena kusoma nilichoandika kama "Great Thinkers" kuwa daktari aliyekuwa anamtibu amempima amebaki anashangaa hajui ugonjwa umepotelea wapi ! Of course and for very obvious reasons daktari hajaambiwa kuwa mgonjwa alisafiri hadi Loliondo kwa babu kupata kikombe !

Mpaka sasa ndugu, marafiki na waumini ndio wanajua kwa nini mtu ambaye alishinda kitandani kwa miezi kadhaa ghafla sasa anatembea na kufanya shughuli zake kama kawaida. Naambiwa waliangusha hata pati la nguvu kushukuru - ukweli ndio huo, take it or leave it !


Kumbe wewe ni mjinga! Confirmed
 
Back
Top Bottom