Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Acheni Mungu aitwe Mungu! Groly be to GOD.
Yohana akamjibu, akamwambia,Mwalimu,tulimwona mtu akitoa pepo kwa jina lako,ambaye hafuatani nasi; Tukamkataza,kwa sababu hafuatani nasi,Yesu akasema msimkataze,kwa kuwa hakuna mtu atakayefanya muujiza kwa jina langu akaweza mara kuninenea mabaya kwa sababu asiye kinyume chetu,yu upande wetu (MARKO 9:38-40)
nadhan ulikuwa unamaanisha Glory ama sio??Acheni Mungu aitwe Mungu! Groly be to GOD.
source: Usiyoyafahamu kuhusu Mchungaji Mwasapila
haya wapendwa,
hii hapa homework mpya, kumbe babu alikiokota kikombe chake? na anatembea nacho kila anpoenda!
Mungu gani anayetenda hivi? anayenunua vikombe na kupelekea watumishi wake?
niende wapi kuukimbia uso wako?
nikipanda mbinguni, wewe uko!
nikifanya kuzimu kitanda changu wewe uko,
nikisema giza litanifunika,
giza na mwanga kwako ni sawasawa!
wewe ndo umekamilisha kila kitu mkuu! Big upsMiss Judith Kwanza nakupa pole kila unacho dadisi kuhusu Babu kila mtu anakupinga na kukuona MJINGA Tuliokunywa tumepona Kama wewe huumwi shida yako nini?
Sharti la kwanza - kikombe kimoja tu. Ukiumwa tena hata kama ni pressure imekula kwako, usirudi kwa mungu wa Samunge.
Sharti la pili - Tiba ni shilingi mia tano. Kama huna kifo ni halali yako
Sharti la tatu - Tiba inafanyakazi hapo kibandani kwa babu tu. Ukisogea pembeni tu kunywa hata kama una imani ni bure.
Sharti la nne - Dawa inatolewa kwa kikombe cha babu tu toka kwenye ndoo.
Sharti la tano - Dawa ukiiandaa kwa imani, ukainywa bila usimamizi wa babu ni sumu!
Ukikiuka masharti hayo hata kama una imani ya kung'oa milima, basi ujue imani yako haifui dafu mbele ya masharti haya.
Hiyo ni kwa wale wenye macho tu. Wengi wametiwa upofu, hawaoni mambo yaliyo wazi kabisa.
Jesus is Lord.
wat kind of mashart ar uu talking abt.kikombe cha babu hakina mashart bwana labd kama unajaribu kuyacreate mwenyewe
Sharti la kwanza - kikombe kimoja tu. Ukiumwa tena hata kama ni pressure imekula kwako, usirudi kwa mungu wa Samunge.
Sharti la pili - Tiba ni shilingi mia tano. Kama huna kifo ni halali yako
Sharti la tatu - Tiba inafanyakazi hapo kibandani kwa babu tu. Ukisogea pembeni tu kunywa hata kama una imani ni bure.
Sharti la nne - Dawa inatolewa kwa kikombe cha babu tu toka kwenye ndoo.
Sharti la tano - Dawa ukiiandaa kwa imani, ukainywa bila usimamizi wa babu ni sumu!
Sharti la sita - Ni mkono wa babu tu unaoruhusiwa kugawa dawa kwenye vikombe.
Sharti la saba - Mungu kampa hati miliki babu pekee duniani. Akiibuka mwingine ataulizwa alikuwa wapi siku zote mpaka amngoje babu.
Sharti la nane - Ukinywa unasubiri mpaka baada ya wiki tatu ndio uone kama umepona.
Sharti la tisa - Marufuku kwa babu kukiacha kikombe chake cha ajabu popote!
Sharti la kumi - AMINI KWAMBA KIKOMBE KINAPONYA!!!!
Ukikiuka masharti hayo hata kama una imani ya kung'oa milima, basi ujue imani yako haifui dafu mbele ya masharti haya.
Hiyo ni kwa wale wenye macho tu. Wengi wametiwa upofu, hawaoni mambo yaliyo wazi kabisa.
Jesus is Lord.
sasa kinachotibu ni dawa?
ni kikombe?
ni babu?
ni Yesu?
hayo masharti ya kikombe hayatofautiani na mashahrti ya hirizi, wake up wapendwa!
ukisoma vizuri nukuu yangu utaona kuwa babu hutembea na kikombe hicho popote aendapo (labda hata chooni huingia nacho), hakiachi wala hakishikwi na mtu yoyote zaidi yake. na inaonekana hiyo dawa ikichotwa kwa kutumia kikombe kingine haitafanya kazi,
1. mungu gani huyu anayejifungamanisha na kikombe namna hii?
2. hiki kikombe sio hirizi?
tutafakarini kwa pamoja wapendwa
tazama naja upesi na ujira wangu u pamoja nami
kumlipa kila mtu sawasawa na kazi yake
Sharti la kwanza - kikombe kimoja tu. Ukiumwa tena hata kama ni pressure imekula kwako, usirudi kwa mungu wa Samunge.
Sharti la pili - Tiba ni shilingi mia tano. Kama huna kifo ni halali yako
Sharti la tatu - Tiba inafanyakazi hapo kibandani kwa babu tu. Ukisogea pembeni tu kunywa hata kama una imani ni bure.
Sharti la nne - Dawa inatolewa kwa kikombe cha babu tu toka kwenye ndoo.
Sharti la tano - Dawa ukiiandaa kwa imani, ukainywa bila usimamizi wa babu ni sumu!
Sharti la sita - Ni mkono wa babu tu unaoruhusiwa kugawa dawa kwenye vikombe.
Sharti la saba - Mungu kampa hati miliki babu pekee duniani. Akiibuka mwingine ataulizwa alikuwa wapi siku zote mpaka amngoje babu.
Sharti la nane - Ukinywa unasubiri mpaka baada ya wiki tatu ndio uone kama umepona.
Sharti la tisa - Marufuku kwa babu kukiacha kikombe chake cha ajabu popote!
Sharti la kumi - AMINI KWAMBA KIKOMBE KINAPONYA!!!!
Ukikiuka masharti hayo hata kama una imani ya kung'oa milima, basi ujue imani yako haifui dafu mbele ya masharti haya.
Hiyo ni kwa wale wenye macho tu. Wengi wametiwa upofu, hawaoni mambo yaliyo wazi kabisa.
Jesus is Lord.
You are evil Miss Judith.....live your life and let others be.:bored::bored::bored:
Dada yangu Judith...
Kwa busara za kawaida na hekima ya kiwango cha kati........ hebu soma posts hizi na uzitafakari....Mimi pia sina uhakika wala imani juu ya tiba ya babu, lakini sauti ya watu ni sauti ya Mungu.........kama umeshindwa kabisa kuamini, basi tafadhali nakusihi, kaa kimya kuliko kuwakwazia watu.
What if hii huduma ya babu ikawa ni kweli ina baraka za Mungu, utapata muda wa kutubu dhambi ya kumwekea Mungu mashaka?
Dada yangu Judith...
Kwa busara za kawaida na hekima ya kiwango cha kati........ hebu soma posts hizi na uzitafakari....Mimi pia sina uhakika wala imani juu ya tiba ya babu, lakini sauti ya watu ni sauti ya Mungu.........kama umeshindwa kabisa kuamini, basi tafadhali nakusihi, kaa kimya kuliko kuwakwaza watu.
What if hii huduma ya babu ikawa ni kweli ina baraka za Mungu, utapata muda wa kutubu dhambi ya kumwekea Mungu mashaka?
Is that So? How do you know that God loves them even more than you and that is why HE has showed them the Way to Loliondo??
Accidentaly have you read today's Guardian on Sunday? There is a certain satire writer by the name of Chesi Mpilipili who is asking the same question:
Why is it that everyody seems to believe that anyone claiming to have a healing power is a fake?
Why, if we read the same Holy Books there still are the likes of Miss Judy who THINK they know more than everbody else to the extent of making themselves self-righteous, hollier-than-thou guardian of other Believers against faith healers the likes of Babu wa Loliondo?
What makes the likes of Miss Judy think that they know a faith healer Impostor when they see one...and warns us against him/her??
Where in the Bible it is written tha Faith Healers ended with the last Chapter of the Bible and anyone else coming foward in the 21st Century is but a fake??
Umesema Unawapenda sana wanaomiminika kwa Babu ndio maana you are getting so worked up about Babu and his Kikombe, isnt it? Do you know that adage about 'If you really LOVE somebody let him/her Go"??
Well, need I say it.........?