i love those people my dear,
naumia kuona wanakimbilia kikombe kama vipofu bila kujua ni roho gani wanayoikimbilia
i love those people my dear,
naumia kuona wanakimbilia kikombe kama vipofu bila kujua ni roho gani wanayoikimbilia
sasa kinachotibu ni dawa?
ni kikombe?
ni babu?
ni Yesu?
hayo masharti ya kikombe hayatofautiani na mashahrti ya hirizi, wake up wapendwa!
...Judith, Wewe huna imani na anayofanya Babu basi baki na werevu wako kwa Amani.
Uache ule umati unamiminika kwa Babu kupata kikombe waendelee na Ujinga wao Kwa Amani.
It is Simple as That.
Why do you get so worked Over about Babu and his Kikombe? Why??? :noidea:
Miss Judith mi niko na wewe,kuna utata sana kuhusu hili swala,babu anatumia jina la Yesu kuhalalisha dawa yake. Yesu mwenyewe alionya kuwa watatokea manabii wa uwongo,hao watafanya makuu ya kuwastaajabisha watu kwa jina langu(Yesu). Tatizo wakristo wengi hawasomi Biblia kwa umakini,wanarukia rukia aya bila kujali ujumbe hasa ni upi! Hizi ni siku za mwisho jamani.
nakushukuru sana mkuu kwa kuliona hilo, wengi humu hawajapewa neema ya kuona hili ulilokwishaliona wewe.
Mungu akubariki sana
i love those people my dear,
naumia kuona wanakimbilia kikombe kama vipofu bila kujua ni roho gani wanayoikimbilia
Mganga maarufu wa tiba za asili maarufu kama Dr. Francis Mwandulame wa Iringa amemjia juu babu kwa kitendo chake cha kuwahadaa watanzania kwamba amepewa ufunuo toka kwa Mungu. Gwiji huyo wa mitishamba anayetisha kusini mwa Tanzania amedai kuwa huo mti wa mugariga anaotumia babu yeye mwenyewe ameanza kuutumia kutiba watu maradhi mbalimbali kwa zaidi ya miaka 8 sasa. Anasema kuwa alioteshwa na marehemu mama yake, na kwamba unapatikana pia huko Iringa. Hivyo amemtaka babu kuacha kuwadanganya watu kuwa mti huo ni ufunuo wa Mungu. Anadai kwa babu wa Loliondo haoni jipya zaidi ya kutangazwa sana na vyombo vya habari.
Katika hatua nyingine Mwandulame amevishutumu vyombo vya habari na serikali kwa kushiriki kumtangaza mganga wa tiba za kienyeji. Ameyashutumu magazeti, TV na redio kwa kumtangaza babu huku waganga wengine wakitozwa pesa lukuki kwa ajili ya matangazo. Pia ameishukia serikali kwa kuruhusu babu kujitangaza kutibu magonjwa sugu na hata kushiriki kumtangaza wakati waganga wenzake wa jadi wamezuiliwa kufanya hivyo. Ameonya kuwa kama hali itaendelea hivyo itabidi na wao waanze kujitangaza bila kufuata taratibu.
wat kind of mashart ar uu talking abt.kikombe cha babu hakina mashart bwana labd kama unajaribu kuyacreate mwenyewe
source: Usiyoyafahamu kuhusu Mchungaji Mwasapila
haya wapendwa,
hii hapa homework mpya, kumbe babu alikiokota kikombe chake? na anatembea nacho kila anpoenda!
Mungu gani anayetenda hivi? anayenunua vikombe na kupelekea watumishi wake?
What are you trying to prove?
Mganga maarufu wa tiba za asili maarufu kama Dr. Francis Mwandulame wa Iringa amemjia juu babu kwa kitendo chake cha kuwahadaa watanzania kwamba amepewa ufunuo toka kwa Mungu. Gwiji huyo wa mitishamba anayetisha kusini mwa Tanzania amedai kuwa huo mti wa mugariga anaotumia babu yeye mwenyewe ameanza kuutumia kutiba watu maradhi mbalimbali kwa zaidi ya miaka 8 sasa. Anasema kuwa alioteshwa na marehemu mama yake, na kwamba unapatikana pia huko Iringa. Hivyo amemtaka babu kuacha kuwadanganya watu kuwa mti huo ni ufunuo wa Mungu. Anadai kwa babu wa Loliondo haoni jipya zaidi ya kutangazwa sana na vyombo vya habari.
Katika hatua nyingine Mwandulame amevishutumu vyombo vya habari na serikali kwa kushiriki kumtangaza mganga wa tiba za kienyeji. Ameyashutumu magazeti, TV na redio kwa kumtangaza babu huku waganga wengine wakitozwa pesa lukuki kwa ajili ya matangazo. Pia ameishukia serikali kwa kuruhusu babu kujitangaza kutibu magonjwa sugu na hata kushiriki kumtangaza wakati waganga wenzake wa jadi wamezuiliwa kufanya hivyo. Ameonya kuwa kama hali itaendelea hivyo itabidi na wao waanze kujitangaza bila kufuata taratibu.
Miss Judith mi niko na wewe,kuna utata sana kuhusu hili swala,babu anatumia jina la Yesu kuhalalisha dawa yake. Yesu mwenyewe alionya kuwa watatokea manabii wa uwongo,hao watafanya makuu ya kuwastaajabisha watu kwa jina langu(Yesu). Tatizo wakristo wengi hawasomi Biblia kwa umakini,wanarukia rukia aya bila kujali ujumbe hasa ni upi! Hizi ni siku za mwisho jamani.
wat kind of mashart ar uu talking abt.kikombe cha babu hakina mashart bwana labd kama unajaribu kuyacreate mwenyewe
Kwaninini tusifikirie kwanza hawa walioanzisha makanisa ya maombezi hivi karibuni ndo manabii wa uongo, tutumie hiyohiyo quotation ya biblia. Au wao ndo wamefunuliwa babu ni nabii wa uongo? Japokuwa tunajua babu siyo nabii, ni mchungaji mstaafu, Emestaafu siyo kwa sababu ya kugombana na wenzake kwenye kanisa, bali umri umekwenda !!