Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
Ningependa tu kujua kwakuwa kitu kikioza(dead body)kinatoa funza, je hao funza wakioza wao wanatoa nini???
wanatoa mbolea
Ningependa tu kujua kwakuwa kitu kikioza(dead body)kinatoa funza, je hao funza wakioza wao wanatoa nini???
wanatoa funza...
Ningependa tu kujua kwakuwa kitu kikioza(dead body)kinatoa funza, je hao funza wakioza wao wanatoa nini???
Mbona majibu yanakuwa mengi, wengine wanadai hawaozi, wanatoa mbolea, na wao wanatoa funza tena, so which is which??
Lakin huyo alosema mbolea naanza kumwamini.,
Ningependa tu kujua kwakuwa kitu kikioza(dead body)kinatoa funza, je hao funza wakioza wao wanatoa nini???
mafunza........