Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
2005 alimtungia wimbo wakati wa uchaguzi...vipi 2010?
2005 alimtungia wimbo wakati wa uchaguzi...vipi 2010?
Wamebaki hawa vijana wa bongo fleva wanaganga njaa yao. Hawajali litakalowapata baada ya hapo. Nawaonea huruma.
Kwa hasira nitaongeza piracy ya kazi zaoSiwalaumu, Njaa inawasumbua si unajua hawauzi