Itabidi tuwaarifu wanachama pake hatutalowa kweli?
Mpwa ukifika nijulishe kweli mimi handsome kila mmoja anataka kukutana na mwanaume washoka!!Nitakuwepo mchek mama big akupe ratiba!Mambo yote Ambiance...
:nono::nono::nono: Si kuna ule upande wa pili kule kulia kama unaenda upande wa kule wanakotengeneza supu ya kitimoto
Kama kawaida muda ule ule sehemu ile ile
Hivi mpwa na baridi hii, ni bora jibaba uwe na eliza wako au utandike valuer??????
Hivi mpwa na baridi hii, ni bora jibaba uwe na eliza wako au utandike valuer??????
Mpwa ukifika nijulishe kweli mimi handsome kila mmoja anataka kukutana na mwanaume washoka!!Nitakuwepo mchek mama big akupe ratiba!
Mpwa ukifika nijulishe kweli mimi handsome kila mmoja anataka kukutana na mwanaume washoka!!Nitakuwepo mchek mama big akupe ratiba!
Kikao cha nini tuambizane waungwana:smile:
Nipatie mimi.Ratiba ipo tayari kama anataka nimpatie
Kikao wapi jamani... mbona kimya mwenyekiti vipi
mambo ya "Fuata nyuki upate manundu" shauri yako!
Mama Big bwana unaogopa kulowa??:smile-big:Itabidi tuwaarifu wanachama pake hatutalowa kweli?
Nipatie mimi.
Hivi wale samaki wa pale nanihii hawahusiki leo?
Au Eliza wa jj amechakachua kwa manyaunyau
Nipatie mimi.
Hivi wale samaki wa pale nanihii hawahusiki leo?
Au Eliza wa jj amechakachua kwa manyaunyau
Mama Big bwana unaogopa kulowa??:smile-big:
Mpwa ukifika nijulishe kweli mimi handsome kila mmoja anataka kukutana na mwanaume washoka!!Nitakuwepo mchek mama big akupe ratiba!
Hapana huko pana asali tupu usiwatishe wanakikao