GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
- Thread starter
- #81
napita kwanza
Naona cdm timu waliyopeleka ni ya made in china !
napita kwanza
Huu ni mfano halisiDuh imekaa kama mikataba feki maana hamna specifics hapo............asante kwa taarifa.
NAJUA WEWE ni Gamba(CCM) HAPA UNAFANYA KUCHOCHEAKweli JK kiboko , mbwembwe zote za cdm mwishowe wameishia kuandika paragraph 2 tu , na wametoka wanafurahi kwa kunywa chai ya ikulu, juice nakupiga picha na Rais.
Kweli timu hii ifuatayo ya Chadema ni ya kuandika paragraph 2 tu??? semeni nanyi hamko seriouss na suala hili la katiba na uamuzi wenu wa kuonana na Rais mlikurupuka.
Timu ya Chadema : Philman Mbowe ( Mwenyekiti ), Said Arfi ( makamu mwenyekiti bara), Said Issa Mohammed (makamu mwenyekiti zanzibar), Prof. Mwesiga Baregu, Prof. Abdallah Saffari (washauri wa masuala ya siasa), Tundu Lisssu (mnadhimu wa kambi ya upinzani), John Mrema. Timu yote hii na vigogo then paragraph 2, kwa siku 2, ur joking !
Ndio maana nilikwambia wewe ni GeniousZero, si maghamba hao hao walikataa CDM wasiende peke yao kumuona mkulu wa Magogoni? Sasa unasema hakuna kitu na mkulu amesema hataki hali kama ya ndugu zetu jilani waliomwaga damu, ili mambo yaende kwa majadiliano! Sasa tumuamini yupi wewe au mkulu wa boma aliyekubali kuwasikiliza CDM?Hivi mkuu ww ulitegemea kwenye haya mazungumzo chadema wangebadilisha kitu ?. Na kwa taarifa za ndani nilizo zipata ni kuwa baada ya ile jana kuahirishwa ujumbe wa cdm ulitoka na mawazo tofauti ndani ya kikao hawakuwa wamoja tena
baada ya ile juice....
Huu ni mfano halisi
Lakini mi naona yapo ya msingi waliyokubaliana labda ni siri lakini kwa nini iwe siri ????
Hayo marekebisho itafanyiwa kabla ya Rais kusaini?
Kwasababu si inasemekana muda ni mchache kabla hajasaini?
Ama ameghairisha kuusaini muswada?
Hii ni aibu kwa cdm kupeleka ujumbe mzito , maprofesa , viongozi wa juu then mwisho wa siku kuibuka na paragraph 2. Huu si wehu huu . Ndio maana nilisema tangia siku za zilizopita kabla ya haya mazungumzo kuwa viongozi wa cdm wanakwenda ikulu kunywa chai na kupiga picha mkabisha, si mmeyaona sasa !Ndio maana nilikwambia wewe ni GeniousZero, si maghamba hao hao walikataa CDM wasiende peke yao kumuona mkulu wa Magogoni?
Sasa unasema hakuna kitu na mkulu amesema hataki hali kama ya ndugu zetu jilani waliomwaga damu, ili mambo yaende kwa majadiliano! Sasa tumuamini yupi wewe au mkulu wa boma aliyekubali kuwasikiliza CDM?
Hayo marekebisho itafanyiwa kabla ya Rais kusaini?
Kwasababu si inasemekana muda ni mchache kabla hajasaini?
Ama ameghairisha kuusaini muswada?
Hapa kuna makosa ambayo labda ni ya kifundi au ya makusudu, bunge halijapitisha sheria, bunge limepitisha muswaada ambao hauwezi kuwa sheria mpaka Rais aupitishe kwa ku sign mswada huo ili uwe sheria, kwa kifupi hapa muswada umesainiwa tayari na hakuna marekebisho yatakayo fanyika kwenye huu muswada, labda yaje kufanyika kwenye sheria.Pamoja na sheria hiyo kupitishwa na bunge ipo haja ya kuendelea kuiboresha ili ikidhi mahitaji ya kujenga kuaminiana na muafaka wa kitaifa
Yawepo mawasiliano na mashauriano ya mara kwa mara kati ya Serikali na wadau mbalimbali juu ya kuboresha sheria hiyo kwa lengo la kudumisha muafaka wa kitaifa kwenye mchakato wa katiba mpya
Hivi nani Naibu Katibu mkuu wa chadema, Zitto au Mnyika?
Hivi nani Naibu Katibu mkuu wa chadema, Zitto au Mnyika?
Hayo si ndio majembe ya JK akose tena
Kweli JK kiboko , mbwembwe zote za cdm mwishowe wameishia kuandika paragraph 2 tu , na wametoka wanafurahi kwa kunywa chai ya ikulu, juice nakupiga picha na Rais.
Kweli timu hii ifuatayo ya Chadema ni ya kuandika paragraph 2 tu??? semeni nanyi hamko seriouss na suala hili la katiba na uamuzi wenu wa kuonana na Rais mlikurupuka.
Timu ya Chadema : Philman Mbowe ( Mwenyekiti ), Said Arfi ( makamu mwenyekiti bara), Said Issa Mohammed (makamu mwenyekiti zanzibar), Prof. Mwesiga Baregu, Prof. Abdallah Saffari (washauri wa masuala ya siasa), Tundu Lisssu (mnadhimu wa kambi ya upinzani), John Mrema. Timu yote hii na vigogo then paragraph 2, kwa siku 2, ur joking !