Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
Mkuu, najua itakuja tu hapa...............tatizo langu ni tactics za JK za kuzubaisha mambo....anaweza akangoja watu wasahau ndo atoe hotuba kwenye sherehe za uhuru kusema muswada urudi bungeni.Mkuu Invisible, heshima mbele sana Mkuu!!
Yani kikao cha siku mbili kimehitimishwa na Paragraph Mbili tuu, hii kitu hatuwezi kuipata kwa kina Mkuu.
Gamba Jipya
tikitimaji halipikwi.