Mkakati wowote unapojengwa juu ya msingi wa majungu na bila utafiti wa kisayansi huru, kama nyumba tu za mabua malishoni, ni sharti kufeli na kusambaratika ndani ya kipindi kifupi sana hata kabla ya kuanza.
Hayo mambo ya CCM wala yasiwaumize kichwa maana ghiliba zao zooooooooooote sisi Nguvu ya Umma tunaendelea tu kuwasoma akili yao kabla ya kujitokeza jumla kwenda kuwashika kule kusiko, nafuu wao wanafahamu sana hilo!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.