Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,432
- 3,251
Kila mtu anao uhuru wa kujiamulia idikadi yake bila kusukukwa na mtu yoyote,vivyo hivyo hata watu nao wanaweza kujiamulia idikadi zao bila ya kulazimishwa,so mtoa mada kwa wakati ule naye pia alihusika kwa namna moja au nyingine hayati j.k nyerere kutangazwa baba wa taifa.sema tu labda kwa sasa kapevuka na kusahau mazuri yalioanzishwa.