Hiki kikao hakioneshi nani kaitisha, hamna mawasiliano. au ndio sikukuu ya wajinga imebadilishwa tarehe?
" Tukiwakamata mafisadi nchi itayumba" by Pinda FIKA MSIMBAZI CENTRE GETINI WAAMBIE WALINZI WAKUONYESHE UKUMBI MPYA SI MZAHA NA WALA SI SIKU YA WAJINGA KARIBU KWA MAENDELEO YA IRAMBA WEST
Mwigulu Mchumba baada ya kusikia CDM wanahamia jimboni kwake MAVI YAMEANZA KUGONGA CHUPI, msishangae mkisikia KAJINYEA, unacheza na M4C wewe.[ Nimeshawaambi hiki kikao si cha kichama ni cha wanajimbo la Iramba west waishio dar fika bila kukosa
Ajenda Kuu ni jinsi M4C itakavyopita huko, kijiji kwa kjiji, mtaa kwa mtaa, kitongoji kwa kitongoji kwa Miguu[ kikao hakina uhusiano na ccm wala m4c bali ni mjadala juu ya maendeleo ya jimbo letu la Iramba magharibi kwa mfano wewe Mkusa umesoma Nangwa umerudi kinampanda hakuna kazi usinge kuwa na kakiwanda ka useremara hali ingekuaje fika bila kukosa mimi tayari nimeshafika wajumbe wanaendelea kuja