Kikao cha wana jimbo la Iramba magharibi

Nawatoa hofu wadau kikao si cha kichama hakifungamani na upande wa chama chochote ni mjadala wa maendeleo ya jimbo nini kifanyike kwani serikali imeshashhndwa .Elimu hoi,afya,maji,madini, kilimo na mengine mengi.FIKA UTOE MWELEKEO NINI KIFANYIKE
 
Natumaini wana Iramba west mtafika ukifika getini msimbazi centre muulize mlinzi akuonyeshe ukumbi mpya uko wapi ukifika kuna wahudumu waulize kikao cha Iramba west watakuonyesha karibuni zigizigi
 
Mwigulu Mchumba baada ya kusikia CDM wanahamia jimboni kwake MAVI YAMEANZA KUGONGA CHUPI, msishangae mkisikia KAJINYEA, unacheza na M4C wewe.
 
Mwigulu Mchumba kusikia Chadema wanahamia jimboni kwake Mavi yameanza kugonga chupi. inawezekana keshajinyea tayari, kama kuna mtu anabisha wajaribu kumpekua waone.
 
Mwigulu Mchumba kusikia Chadema wanahamia jimboni kwake Mavi yameanza kugonga chupi. inawezekana keshajinyea tayari, kama kuna mtu anabisha wajaribu kumpekua waone.
 
Nina imani mmeandaa ubwabwa wa kutosha kama kawaida yenu, manake njaa ya chakula kwa watanzania ndio mtaji wenu.
 
Nadhani kuna haja ya kuweka sawa baadhi ya mambo,
ifahamike kuwa kikao hiki si cha kisiasa,
kinawahusu wanairamba mashariki waishio dar es salaam. Mada kuu ni kutathimini mambo ya kijimbo na mustakabali wa miradi jimboni, pia kufahamiana.
 
Nadhani kuna haja ya kuweka sawa baadhi ya mambo,
ifahamike kuwa kikao hiki si cha kisiasa,
kinawahusu wanairamba mashariki waishio dar es salaam. Mada kuu ni kutathimini mambo ya kijimbo na mustakabali wa miradi jimboni, pia kufahamiana.

Bila shaka agenda mojawapo ni kukerwa na kijana wenu kudhalilisha chama kwa kuipandisha chat cdm
 
Wazo zuri lakini ingekuwa ni busara zaidi kama tungesubiri M4C wapite kwanza kwenye jimbo la Mwigulu Michembe halafu ndio tufanye kikao chetu, ambapo ninatarajia mahudhurio yatakuwa ni mazuri zaidi.
 
Wazo zuri lakini ingekuwa ni busara zaidi kama tungesubiri M4C wapite kwanza kwenye jimbo la Mwigulu Michembe halafu ndio tufanye kikao chetu, ambapo ninatarajia mahudhurio yatakuwa ni mazuri zaidi.

kwa kuwa tumesema kuwa kikao hakihusiani na mambo ya kisiasa direct, naona m4c haiwi subject ya kufanya kikao kukosa mahudhurio ya kutosha. Tufike hatimaye tuakuwa na cha kusema.
 
Mods kwa nini hii thread msihamishie kwenye jukwaa la matangazo ilihali mwenyewe aliyeleta hii thread kasema si ya kisiasa
 
kwa kuwa tumesema kuwa kikao hakihusiani na mambo ya kisiasa direct, naona m4c haiwi subject ya kufanya kikao kukosa mahudhurio ya kutosha. Tufike hatimaye tuakuwa na cha kusema.
kama ni hovyo kwa nini walete kwenye jukwaa la siasa kwani hakuna mahala pake?
 
kama ni hovyo kwa nini walete kwenye jukwaa la siasa kwani hakuna mahala pake?

wewe nawe! Khaa
kama jack zoka, kwani hili jukwaa la siasa umelibeba mgongoni eeh!!!
Si upite kama uzi unakuchanganya.
Hivi wanapokusanyika wanasiasa, porojo za kiasa zinaweza kosekana kweli!
Waache wanairamba west wafaidi jf.
Huwezi juwa wanaweza kupeana elimu ya kufaa na mauaji kama ya ndago yakawa historia. Tuache tupige siasa kimtindo.
 
Napenda kuwatangazia wana jimbo la Iramba magharibi waishio Dar es salaam kutakuwa na kikao msimbazi centre tarehe 16/9/2012 kuanzia saa tisa kamili ukumbi mpya ( MADA KUU ) kujadili masuala ya maendeleo ya jimbo letu. Kikao hiki sio cha kichama karibuni sana

Napongeza juhudi zenu, nawaomba tuhudhurie wengi ili tuweze kusonga mbele
 
Napenda kuwatangazia wana jimbo la Iramba magharibi waishio Dar es salaam kutakuwa na kikao msimbazi centre tarehe 16/9/2012 kuanzia saa tisa kamili ukumbi mpya ( MADA KUU ) kujadili masuala ya maendeleo ya jimbo letu. Kikao hiki sio cha kichama karibuni sana

Madelu atakuwa amemaliza mikutano kwenye jimbo la kufikia Igunga?....Kama nawaona vile Dr.Mkumbo Vs mwigulu.
 
Nadhani kuna haja ya kuweka sawa baadhi ya mambo,
ifahamike kuwa kikao hiki si cha kisiasa,
kinawahusu wanairamba mashariki waishio dar es salaam. Mada kuu ni kutathimini mambo ya kijimbo na mustakabali wa miradi jimboni, pia kufahamiana.

Mkuu hivi west ni mashariki?napita nitarudi
 
Nawatoa hofu wadau kikao si cha kichama hakifungamani na upande wa chama chochote ni mjadala wa maendeleo ya jimbo nini kifanyike kwani serikali imeshashhndwa .Elimu hoi,afya,maji,madini, kilimo na mengine mengi.FIKA UTOE MWELEKEO NINI KIFANYIKE
mkuu mpaka hapo tu tayari mwigulu hatashiriki maana yeye anaamini na anawaaminisha wapiga kurawake kuwa ccm na serikali yake imewaletea maendeleo. kama dondoo zakikao ndo hizo basi mwigulu hamtampata na mkimpata mjue atawavuruga hadi msijadili mlokusudia. VINGINEVYO WAZO NI ZURI NAMI NAWATAKIA MAFANIKIO MEMA.
 
Back
Top Bottom