Kikao cha NEC Zanzibar: Karume hataki kuongezewa muda!

- The more dataz ni kwamba Rostam, amekua mmoja wa wafadhili wakubwa wa CUF since 2000, kupitia kwa kiongozi mmoja wa kwa jina Jusa. Hii investment is about to pay back kwa Rostam, tena big time maana kampuni ya Ughaibuni iliyokuwa inatafuta mafuta tayari imeshaambiwa kufungasha virago, kumpa nafasi Rostam, kuleta kampuni yake itakayosimamia shughuli nzima from now on!

- Rostam again ndiye single handed according to the dataz, aliyempa Karume urais ndani ya CC kule Dodoma behind the scene, na wanaomfahamu kwa karibu wanasema Rostam could careless na Muungano, mbele ya opportunity ya biashara iliyopo hapa mbele yake! According to huyu mjumbe wa kamati maalum aliyenipa dataz ni kwamba kwa maoni yake 85%, muungano umekwisha labda itokee miracles ambayo kwa maneno yake, muungwana hana huo uwezo!

- Lakini pia bado kuna upande wa pili wa the coin huko visiwani yaani wanaotaka Muungano, na wao wamekua wakikutana kwa siri, bado tunajaribu kufuatilia zaidi, na ni kweli Msekwa amepelekwa huko leo asubuhi sana kwa private jet na hivi sasa ninapoandika bado yuko ndani ya hiki kikao cha kamati maalum!


(.....stay...tuned....!..bado tunatafuta yalisemwa ndani ya kikao na nani waliosema.....!)

Respect.

FMEs!
 
- All right, the more dataz ni kwamba Muungano uko kwenye life support, wanaomfahamu Karume kwa karibu sana wanadokeza kwamba hataki Muungano, wanasema hivi karibuni katika kikao kimoja cha Jumuiya, aliwakoromea sana Burundi na Rwanda, kwamba kwa nini wanataka kurudia makosa ya baba yake ya kujiingiza kwenye Muungano na mataifa makubwa, na kwamba baba yake alifanya makosa makubwa sana kujiingiza na bara kwa sababu siku zote miungano ya taifa kubwa na dogo, huishia kuumiza taifa dogo to the shock ya wasaidizi waliokua naye!

- The dataz ni kwamba katika moja ya kikao cha siri kati ya Seif na Karume, waliwekana sawa kwamba, wao wawili ndio Zainzibar ya sasa hakuna cha bara wala CCM, at one point Seif anasadikiwa kumuambia Karume, "..mimi nina umma na wewe una dola...sasa....wabara wa nini yakhe....!", wanaowafahamu wote wawili kwa karibu sana wanasema kwamba wote wawili wanaunganishwa na one principle ya kutoutaka muungano!

- NEC ya mwisho ilipoitishwa Karume hakuja kwa kisingizio cha kwenda kutibiwa nje, this time ameamua kuita kikao maalum huki visiwani siku ya kikao cha CC bara, pamoja na kwamba amearifiwa toka last weeek!

- The more dataz ni Kigogo mmoja wa CCM (jina tunatunza), aling'amua mapema kwamba huko visiwani kuna something fishy, akamfahamisha Muungwana na nini cha kufanya, yaani kumuita Karume mara moja Dodoma kwa siri na kumkalia kooni, Muungwana kwa kutotaka kuonekana anafuata fuata ushauri tu wa wengine na sio maamuzi yake mwenyewe, akaukataa ule ushauri na kuamua yeye binafsi kuitisha kikao cha CC na NEC kule Dodoma, Karume akachomoa na kwenda nje kutibiwa!


- Now to make this dataz story interesting, comes the main man the one and only Rostam in the picture!

......stay....tuned....!

Respect.

FMEs!
I never trusted this Karume. Now it comes true!
Afro-Shiraz party:
African = Zanzibar
Shiraz - Is that City in Iran?? Where Rotam Aziz is his roots,
Very interesting!

A weak President in the United Republic; another defunct sellout mr. Karume.
Let us wait; he has to accumulate a lot of energy, if only depending on Maalim Seif then, zanzibar is going to be one region of Republic Of Tanzania, Not the United Republic (States) Of Tanzania
 
- The more dataz ni kwamba Rostam, amekua mmoja wa wafadhili wakubwa wa CUF since 2000, kupitia kwa kiongozi mmoja wa kwa jina Jusa. Hii investment is about to pay back kwa Rostam, tena big time maana kampuni ya Ughaibuni iliyokuwa inatafuta mafuta tayari imeshaambiwa kufungasha virago, kumpa nafasi Rostam, kuleta kampuni yake itakayosimamia shughuli nzima from now on!

- Rostam again ndiye single handed according to the dataz, aliyempa Karume urais ndani ya CC kule Dodoma behind the scene, na wanaomfahamu kwa karibu wanasema Rostam could careless na Muungano, mbele ya opportunity ya biashara iliyopo hapa mbele yake! According to huyu mjumbe wa kamati maalum aliyenipa dataz ni kwamba kwa maoni yake 85%, muungano umekwisha labda itokee miracles ambayo kwa maneno yake, muungwana hana huo uwezo!

- Lakini pia bado kuna upande wa pili wa the coin huko visiwani yaani wanaotaka Muungano, na wao wamekua wakikutana kwa siri, bado tunajaribu kufuatilia zaidi, na ni kweli Msekwa amepelekwa huko leo asubuhi sana kwa private jet na hivi sasa ninapoandika bado yuko ndani ya hiki kikao cha kamati maalum!


(.....stay...tuned....!..bado tunatafuta yalisemwa ndani ya kikao na nani waliosema.....!)

Respect.

FMEs!

Dah kweli jf kiboko na huyu Rostam ni hatari aisee duh!!!! hafai hata kidogo
 
- The more dataz ni kwamba Rostam, amekua mmoja wa wafadhili wakubwa wa CUF since 2000, kupitia kwa kiongozi mmoja wa kwa jina Jusa. Hii investment is about to pay back kwa Rostam, tena big time maana kampuni ya Ughaibuni iliyokuwa inatafuta mafuta tayari imeshaambiwa kufungasha virago, kumpa nafasi Rostam, kuleta kampuni yake itakayosimamia shughuli nzima from now on!

- Rostam again ndiye single handed according to the dataz, aliyempa Karume urais ndani ya CC kule Dodoma behind the scene, na wanaomfahamu kwa karibu wanasema Rostam could careless na Muungano, mbele ya opportunity ya biashara iliyopo hapa mbele yake! According to huyu mjumbe wa kamati maalum aliyenipa dataz ni kwamba kwa maoni yake 85%, muungano umekwisha labda itokee miracles ambayo kwa maneno yake, muungwana hana huo uwezo!

- Lakini pia bado kuna upande wa pili wa the coin huko visiwani yaani wanaotaka Muungano, na wao wamekua wakikutana kwa siri, bado tunajaribu kufuatilia zaidi, na ni kweli Msekwa amepelekwa huko leo asubuhi sana kwa private jet na hivi sasa ninapoandika bado yuko ndani ya hiki kikao cha kamati maalum!

(.....stay...tuned....!..bado tunatafuta yalisemwa ndani ya kikao na nani waliosema.....!)

Respect.

FMEs!

Sasa kama Msekwa ameruhusiwa kwenye hicho kikao si siri na mikakati yao wataiexpose kwa CCM na bara?? Unless there nothing serious going on!!!
 
kutoka unguja mpaka dar ni 45miles au 72km,
watu mnaoonglea mafuta je hayo mafuta yako wapi, kwenye ardhi ya znz au kwenye bahari ambayo ina mipaka ya utata
 
kutoka unguja mpaka dar ni 45miles au 72km,
watu mnaoonglea mafuta je hayo mafuta yako wapi, kwenye ardhi ya znz au kwenye bahari ambayo ina mipaka ya utata

Kaka mafuta ya znz yapo katika bahari kubwa ya znz na pemba na ukanda wa mombasa na ndio maana kenya wakaomba waongezewa eneo la bahari kubwa ili iwe ndani ya mipaka yao. Sisi tanzania tumelala hadi leo but mafuta ya znz yapo bahari kubwa na reserves zake inasemekana inaweza kuzalisha around 500,000 barrels - 1 million a barrels a day which is a large scale productions si mchezo. Usidhani hii ni ishu ya kitoto mzee watu wanazo data
 
Mungu atuongoze katika kipindi hiki kigumu kuelekea uchaguzi, kwa kawaida kipindi hiki huwa ni kama mfanyakazi wa mkataba wa muda maalum anatafuta namna ya kumfanya mwajiri wake amuone kama ni mtu muhimu sana katika kampuni ili amuongezee mkataba.Hivyo ni kipindi ambacho heshima ya mwananchi huonekana.

Yote hayo plus CCJ, ni kiti moto live ndani ya CCM.

Tusubiri tuone.
 
Sasa kama Msekwa ameruhusiwa kwenye hicho kikao si siri na mikakati yao wataiexpose kwa CCM na bara?? Unless there nothing serious going on!!!

- Mkuu understand kwamba hiki kikao maalum kimeitishwa na Karume kama cover ya kutokwenda kwenye CC Dar, sasa kweli logically ulitegemea kitakuwa kikao cha siri? Kikao kinachohudhuriwa na kina Meghji na Khatibu kutoka bara I mean sijui sana ya huko visiwani, ila siamini kwamba kinaweza kuwa kikao cha siri na besides vikao vya siri vinakuwa between Seif na Karume, kwa jinsi nilivyodokezewa ila I could be wrong vile vile,

- honestly sijawahi ku-pay too much attention na siasa za huko Visiwani, mpaka jana nilipoona Mkulu MMJ na Pasco, wakisema kwamba kuna ishus huko ndio nikaanza kufuatilia na kupata hizi dataz nilizozitoa leo so far, otherwise huwa sina interets kabisa na siasa za huko pande ya pili!

- Anything inaweza kua anything, as far as siasa za huko, anyways tunasubiri kuisha kwa kikao ambacho bado kinaendelea mpaka sasa ninapoandika! na huku tukiendelea kutafuta all the info na hii sagga! maana dataz ni nyingi sana na nyingine ni too hot inakua sio sawa kuziweka hapa for now, mpaka tuone upepo kwanza unaenda wapi!

Respect.


FMEs!
 
Kaka mafuta ya znz yapo katika bahari kubwa ya znz na pemba na ukanda wa mombasa na ndio maana kenya wakaomba waongezewa eneo la bahari kubwa ili iwe ndani ya mipaka yao. Sisi tanzania tumelala hadi leo but mafuta ya znz yapo bahari kubwa na reserves zake inasemekana inaweza kuzalisha around 500,000 barrels - 1 million a barrels a day which is a large scale productions si mchezo. Usidhani hii ni ishu ya kitoto mzee watu wanazo data
Mdondoaji,
Acha hizo habari za kwenye vijiwe. Hiyo Bahari kubwa uliyonayo wewe ambayo bara haina ipo wapi? You are a tiny Indian Ocean Island in the outskirts of the coast of Dar Es Salaam. Hebu twambia kama tukikuachia hizo nautical mile zako, halafu ujue from Dar Lindi Mtwara, towards the high Sea where are the Limits. Msiwe manakuja na data za ajabu. Angalia tena ile Ramani how big is Zanzibar na Zanzibar itazuia vipi waTanzania wasichimbe mafuta high sea? Mind that our fight is not oil, it is for our national Interest. Zanzibar Is part and Parcel of the United Republic Of Tanzania and nobody can temper with it.
 
.....watu urais hawauwezi wakangangania kuupata AT ANY COST......sasa angalia sarakasi anayotuachia CHAMA kinamvunjikia na MUUNGANO unamvunjikia.......hatutamsamehe kwa hilo!!!!!!!!!!!!

MAPINDUZI YA PILI YANAANDALIWA ZANZIBAR....its like wameshafanikiwa kwa asilimia kubwa .... maana wameshazipoka nguvu za rais .....hana amri tena ...kifupi amri za kikwete zinaishia CHUMBA ireland[mpakani na zanzibar]....what a waste......hana ubavu wa advertise aliyoifanya nyerere kwa Jumbe.........and Jumbe will emerge hero before he die!!

no wounder kwenye hotuba ya Juzi Pemba ...karume alimsifu sana mkapa na kumshukuru...lakini wala hakumshukuru kikwete..moja kwa moja....it seems anamdharau!
 
Mdondoaji,
Acha hizo habari za kwenye vijiwe. Hiyo Bahari kubwa uliyonayo wewe ambayo bara haina ipo wapi? You are a tiny Indian Ocean Island in the outskirts of the coast of Dar Es Salaam. Hebu twambia kama tukikuachia hizo nautical mile zako, halafu ujue from Dar Lindi Mtwara, towards the high Sea where are the Limits. Msiwe manakuja na data za ajabu. Angalia tena ile Ramani how big is Zanzibar na Zanzibar itazuia vipi waTanzania wasichimbe mafuta high sea? Mind that our fight is not oil, it is for our national Interest. Zanzibar Is part and Parcel of the United Republic Of Tanzania and nobody can temper with it.

Tupe wewe mipaka ya znz na mie nimesema reserve za znz zinaweza kuzalisha 500,000 - 1 million barrels na maneno haya kasema mtu ambaye wamekuja kuweka mazingira ya kubuild offshore drilling na data anazo. Haya sasa tupe wewe data zako zipi na wapi? Yes this is a matter of national interest but when national interest inaamuliwa na watu wachache inakuwa si national interest but individual interest na ndio hapo viongozi wa znz walistukizia wakaona waweke biti maana wanaona kuzidiwa ujanja na bara.
 
Mdondoaji,
Acha hizo habari za kwenye vijiwe. Hiyo Bahari kubwa uliyonayo wewe ambayo bara haina ipo wapi? You are a tiny Indian Ocean Island in the outskirts of the coast of Dar Es Salaam. Hebu twambia kama tukikuachia hizo nautical mile zako, halafu ujue from Dar Lindi Mtwara, towards the high Sea where are the Limits. Msiwe manakuja na data za ajabu. Angalia tena ile Ramani how big is Zanzibar na Zanzibar itazuia vipi waTanzania wasichimbe mafuta high sea? Mind that our fight is not oil, it is for our national Interest. Zanzibar Is part and Parcel of the United Republic Of Tanzania and nobody can temper with it.

Interesting Observations.
 
Mdondoaji,
Acha hizo habari za kwenye vijiwe. Hiyo Bahari kubwa uliyonayo wewe ambayo bara haina ipo wapi? You are a tiny Indian Ocean Island in the outskirts of the coast of Dar Es Salaam. Hebu twambia kama tukikuachia hizo nautical mile zako, halafu ujue from Dar Lindi Mtwara, towards the high Sea where are the Limits. Msiwe manakuja na data za ajabu. Angalia tena ile Ramani how big is Zanzibar na Zanzibar itazuia vipi waTanzania wasichimbe mafuta high sea? Mind that our fight is not oil, it is for our national Interest. Zanzibar Is part and Parcel of the United Republic Of Tanzania and nobody can temper with it.
mind you. niliwahi kulitembelea eneo lililofanyiwa utafiti usio rasmi wa mafuta kwa awamu ya kwanza huko tundauwa pemba, eneo hili mpaka leo ukienda utaoneshwa na limewekewa signs fulani hivi.Ingawa utafiti unalengwa zaidi kufanyika katika maeneo ya bahari ,lakini ni eneo hili la kijiji cha tundauwa ndio linasadikiwa zaidi kuwa na hazina ya mafuta.Lakini nakubaliana na mwisho wa post yako kwamba mafuta sio ishu, hapa tunaangalia maslahi ya pande mbili za muungano, mafuta yamefanywa ni bridge la watu kutetea kile wanachohisi ni haki yao.
 
Tupe wewe mipaka ya znz na mie nimesema reserve za znz zinaweza kuzalisha 500,000 - 1 million barrels na maneno haya kasema mtu ambaye wamekuja kuweka mazingira ya kubuild offshore drilling na data anazo. Haya sasa tupe wewe data zako zipi na wapi? Yes this is a matter of national interest but when national interest inaamuliwa na watu wachache inakuwa si national interest but individual interest na ndio hapo viongozi wa znz walistukizia wakaona waweke biti maana wanaona kuzidiwa ujanja na bara.
Kabla sijakupa data jibu swali hili:
Nani anazuia Zanzibar isichimbe mafuta kama yapo? Na zaidi ni mamuzi gani ambayo hufanywa na watu wachache wa Bara kwa Zanzibar na kufanya isiendelee?
 
Kabla sijakupa data jibu swali hili:
Nani anazuia Zanzibar isichimbe mafuta kama yapo? Na zaidi ni mamuzi gani ambayo hufanywa na watu wachache wa Bara kwa Zanzibar na kufanya isiendelee?

Juzi kwenye sherehe za mapinduzi huku akimtazama kikwete ...karume alisema "swala la mafuta liondolewe kwenye mambo ya muungano...."... its like alikuwa anamuagiza kikwete Rais wa jamhuri ya muungano...ambaye kimamlaka yeye ndio alikuwa na mamlaka ya kutoa kauli kama hiyo hadharani...Yes we have the president with balls..if we did not mistaken them with Bushas...
 
.....watu urais hawauwezi wakangangania kuupata at any cost......sasa angalia sarakasi anayotuachia chama kinamvunjikia na muungano unamvunjikia.......hatutamsamehe kwa hilo!!!!!!!!!!!!

mapinduzi ya pili yanaandaliwa zanzibar....its like wameshafanikiwa kwa asilimia kubwa .... Maana wameshazipoka nguvu za rais .....hana amri tena ...kifupi amri za kikwete zinaishia chumba ireland[mpakani na zanzibar]....what a waste......hana ubavu wa advertise aliyoifanya nyerere kwa jumbe.........and jumbe will emerge hero before he die!!

no wounder kwenye hotuba ya juzi pemba ...karume alimsifu sana mkapa na kumshukuru...lakini wala hakumshukuru kikwete..moja kwa moja....it seems anamdharau!

sometimes people become bored of stability, that is what is happening in zanzibar
 
Kabla sijakupa data jibu swali hili:
Nani anazuia Zanzibar isichimbe mafuta kama yapo? Na zaidi ni mamuzi gani ambayo hufanywa na watu wachache wa Bara kwa Zanzibar na kufanya isiendelee?

Kaka according to wazanzibari wanasema kuwa mafuta kampuni zililetwa kutoka Tanzania Bara kuja kuanza kazi ya uchimbaji kwani mikataba ilishafungwa dar na watu wachache including Rostam. Jamaa zanzibar including bosi Karume wakahoji uhalali wa mikataba hiyo wakaambiwa kwakuwa mafuta ni swali la muungano hivyo basi lipo chini ya wizara ya nishati.

Sasa baadhi ya wawakilishi wakahoji uhalali wa swala hilo ikawa ni vuta nikuvute ishu ikazimwa kwa ubabe na JK na washkaji zake kuwa hilo swala litajadiliwa ndani ya muungano in an anticipation of buying time hadi atakapokuja rais wa znz anayemtaka yeye (i.e. JK inasemekana ni mtoto wa mwinyi Dk Hussein Mwinyi) halafu mambo yawe smooth. Sasa jamaa wamestukizia kuwa wanazidiwa kete wamegoma kwasababu wanahoji uhalali wa kuingiza mafuta ndani ya muungano mkubwa sijui ushanifahamu kamanda. Sijui umenipata hapo
 
- Well...according to more dataz ni kwamba:-

1. Muungwana aliitisha kikao cha leo CC, lakini kusikia hivyo Karume naye akaitisha kikao maalum leo huko Zanzibar kwa makusudi akijua kwamba leo pia ni siku ya CC DSM.

2. Wajumbe wa CC leo walikuwa wakifahamishwa kwa simu kwamba kikao kimeahirishwa mpaka baadaye watakapojulishwa, as opposed na katiba ambapo wajumbe huarifiwa rasmi kwa maandishi.

3. The dataz ni kwamba "muafaka wa siri" Seif na Karume, una kipengele kinachomtaka Karume kutohudhuria kikao cha ina yoyote kiwe cha CCM, au serikali upande wa bara!

(......itaendeelea.......stay...tuned...! ..tabia yetu ni ile ile kuwawahi hawa CCM na habari zao nyeti maana bila hivi huwa hawazisemi.....)

Respect.

FMes!

FM
Jaribu kudodosa nini nafasi ya Mwenyekiti wa CAF kwenye hili kwani nakumbuka walipotangaza kuitambua serekali alikuwepo na kama sijakosea alisema ni maamuzi ya baraza kuu la CUF ndo waliyafikia hayo. Je katika hili na yeye anatengwa na CUF ZNZ kama JK anavyotengwa na CCM huko???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom