Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
mi nashangaa sana kuona watu wapo hapa jf halafu anatoa hoja kama mtu asiyeingia hata darasa moja.imefika wakati tuanze kuona jinsi tusivyojua maana ya opportunities..wakati nchi za ulaya mashariki zilipojiunga na EU hawakupoteza muda kuchunguza faida zake bali wali-grab hiyo opportunity kwa kwenda western countries na kufaidika na resouces za huko!!!Sasa sisi uvivu wetu wa kufikiri unatufanya tusione kilichopo kwenye nchi hizo mbili(bara na zenji) Hivi mahala ambapo pana ardhi yenye rutuba na mito yenye maji ya kutosha dunia ya leo useme pana faida gani kama sio uvivu ni nini?hata mwuungano ukiuawa kesho kama mentallity ni hizihizi patakuwa kero zaidi.Wazanzibar popote walipo hata ukiwakuta ulaya ni malalamiko hayohayo tu lakini hakuna chochote wanachofanya maana.fungueni macho kuna a lot of opportunities ndani ya muungano kama hamzioni hata mkibaki na zanzibar au bara peke yake hamtaona chochote!!!!!!!
Sasa mkuu hizo opportunities za muungano wetu ziko wapi na ni zipi hebu tumwagie nakushangaa kulinganisha muungano wetu na wa EU eti nchi za EU hazikupoteza muda kuchunguza faida eti zili-grab tu usitake kutufanya wote mbumbumbu.
Huna taarifa kuwa Lisbon treaty imesainiwa mwezi uliopita Dec baada ya mvutano mkubwa usidanganye watu kule kuna viongozi wanaofuata utawala wa sheria viongozi wanaolinda EU kwa maslahi ya nchi zao si huku viongozi wanalinda muungano kwa maslahi yao binafsi.