Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 99
Hilo nalo liweke kwenye list yako ya maswali utakayomuulizi mjomba, kuwa "mjomba hi ni safari yangapi kuzuru dunia?Inasemekana kuwa amechelewa kuingia, wengine wanasema kuwa ameenda kwenye Birthday Party ya Mendela ya kutimiza 93. Mpaka sasa hivi sina habari ya uhakika. Kwa wanohesabu Safari zake watuambie hi ni No. ngapi? Kabla ua Kurudi na kwenda Mtwara kwenye Sikukuu ya Mashujaa 25 July 2011