Deodatus Sangu...
Mwenyekiti wa chama cha filam tanzania
...Sijui COSOTA ipo kwa ajili ya NANI??
..Haitusaidii zaidi ya kutunyonya sisi. Hasa kazi zake zimekuwa zinafanyika na wadau wengine na siyo chama hiki...
...COSOTA haina bodi kwani iliyoundwa na Waziri Mary Nagu hatujui aliiundaje na alikiuka taratibu...
...Mkurugenzi wa COSOTA ndugu Yustus Mkiinga amekuwa anaonekana kwenye kutetea na kupromoti kampuni moja tu iitwayo STEPS ambapo hatujui kama ameajiriwa huko ama ameajiriwa na serikali kwa manufaa ya wasanii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.