afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Hahaha!!! Lol Asante Sana
:hug: baadaye..
Hahaha!!! Lol Asante Sana
.....Ya kweli haya??
Chukua flight JE Saccos itakulipia lol!!!kweli kabisa na meli nyingine ya kwenda Pemba imewaka moto.
Dah! Poleni sana, tumtoe nani kafara ili hii mikosi inayotuandama ituache?kweli kabisa na meli nyingine ya kwenda Pemba imewaka moto.
Mkuu rekebisha kwanza Kiswahili chako before we proceedhivi haya masakos ni madudu gani haswa, tunakuwa na shares au ? Ebu tujuze plz. Na kwa walio mbali, kama huku Serbia, masharti yakoje ?
we kweli noma, hadi sredi za biashara unachakachua!Dah! Poleni sana, tumtoe nani kafara ili hii mikosi inayotuandama ituache?
Mkuu hope you got all the necessary informationnataka kujiunga jamani. taratibu zipoje???
<br />Tunapenda kuwashukuru wanachama wote waliohudhuria kikao cha JE SACCOS kilichofanyika Hongera Bar Jumamosi ya tarehe 19-09-201, tunashukuru kwa michango, mawazo, ushauri na mapendekezo yenu changamoto zilikuwa nyingi pamoja na yote wote tuliweza kufikia maazimio naweza kusema hazina ya wanachama waliomo JE SACCOS ni kubwa, kwa mawazo na mapendekezo yaliyokuwa yanatolewa Jumamosi na wanachama JE SACCOS itafika mbali sana.<br />
<br />
Pamoja Tunaweza.
Asante kwa taarifa, tutajitahidi kufika
Tunapenda kuwashukuru wanachama wote waliohudhuria kikao cha JE SACCOS kilichofanyika Hongera Bar Jumamosi ya tarehe 19-09-201, tunashukuru kwa michango, mawazo, ushauri na mapendekezo yenu changamoto zilikuwa nyingi pamoja na yote wote tuliweza kufikia maazimio naweza kusema hazina ya wanachama waliomo JE SACCOS ni kubwa, kwa mawazo na mapendekezo yaliyokuwa yanatolewa Jumamosi na wanachama JE SACCOS itafika mbali sana.
Pamoja Tunaweza.
Tuko katika taratibu za uanzishwaji wa JE Saccos, kwahiyo suala la kukopeshwa hilo naomba uliweke pembeni for the time being tunachofanya sasa hivi ni taratibu za kujisajili na kutuma michango ili Saccos iweze kusajiliwa rasmi kwa maelezo zaidi tunaweza kuwasiliana kwa email ifuatayo jesaccos.tz@gmail.comSamahan, tayari saccos ina exist au ndo taratibu za uanzishwaji bado zinafuatwa?
Kama tayari je, ni mpaka niwe mwanachama wa muda gani niweze kukopeshwa? Na rates zikoje? (yaani napaswa kuweka kiasi gani ili nikopeshwe kiasi gani?).
Please nisaidie jibu, nahitaji kujiunga.
Bombu, namba yako ya simu hatuna, ebu tuma tena kwenye email ya JE saccos.