George Kahangwa
JF-Expert Member
- Oct 18, 2007
- 547
- 147
Kwahiyo bado ni mwanachama wa NCCR..? ni sababu zipi zimekufanya ubadili uamuzi na kuamua kurejea..??
Ndio, ninaendelea kuwa mwanachama wa NCCR-Mageuzi
Kurejea kwangu chamani ni matokeo ya suluhu iliyopatikana katika kikao changu na ujumbe wa chama ulionifuata kwa nia ya upatanishi/usuluhishi