fisi2 hebu jaza nyama basi anakutana nao kwenye 88 Nzuguni au St Gasper au Ikulu Chamwino ni nini hasa hizo tuhuma za Nishati na Madini au wanataka kutuwekea Mgawo wa Umeme (Tanesco) fafanua kinachoendelea
Kwani kuna tatizo gani kuwaita? si ni wasaidizi wake wakuu? Jee angewaita dar ingekuwa hoja?
Let us not be pre-emptive as we have a lot of issues to ponder about
jamaa wameisha jitwalia ziwa nyasa lootee sisi tunabaki kujadilii kujadili weee wakati rais wao mwanamama shupavu kweli kweli hataki kabisaa kusikia kitu chochote kinachoitwa majadiliano ya 'kugawana lake nyasa yao'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.