mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Wakati akihailisha kikao cha bunge jana jioni' Naibu spika alitoa tangazo la
kwamba wabunge wote wa CCM na CUF kutoka Zanzibar wanaitwa kwenye
kikao fulani. Ndipo mh. zito kabwe akauliza kwa kuhoji, hata CDM wanawa
bunge kutoka Zanzibar mbona hamuwaiti kwenye hicho kikao? Naibu spika
alijibu kwa kupotezea......
Swali langu ni - Hivi kitu kama hicho wanamaanisha nini? Hapo kweli kuna
upinzani? - Nawasilisha
kwamba wabunge wote wa CCM na CUF kutoka Zanzibar wanaitwa kwenye
kikao fulani. Ndipo mh. zito kabwe akauliza kwa kuhoji, hata CDM wanawa
bunge kutoka Zanzibar mbona hamuwaiti kwenye hicho kikao? Naibu spika
alijibu kwa kupotezea......
Swali langu ni - Hivi kitu kama hicho wanamaanisha nini? Hapo kweli kuna
upinzani? - Nawasilisha