Karibu tena saiv tunatengeneza hotel kwa ajili ya wageni
Vipi yale mahandaki mlishayafukia?[
Mahandaki yapi?
Ya barabara
Nilishawahi kufika
umeulizwa??
wapo si unamona mwita
Ehud Barack alipotamka kuna nchi hajui kama zina Exists ! Kweli Tanzania ni Kubwa... Siasa zetu zitatufikisha hivi hivi Hado end of the World...Hapa ndio kijijini kwetu na hii ni shule niliyosoma elimu ya msingi...hapa hakuna Mafuriko wala uchafu..hewa safi,maji ya kunywa unachota mtoni masafi toka milima isiyo na chembe ya uchafu...maisha ni mazuri sana huku...
View attachment 44125
Nimekuuliza ww??