Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
- Thread starter
- #21
Chapakazi kuna kazi sana kutoa kijarida.
Yap, nimeshawagiwia watu kumi tayari.
Nitaendelea ku print more copies.
View attachment 34832
Tuko katika majaribio ya kurudi kwa mbwembwe zaidi na kijarida kipya kuelekea 2015. Kijarida cha "Cheche za Fikra" kilikuwa ni nuru ya kutupeleka 2010 na kilitoa mchango wake; kwa mashauri yenu, michango yenu na ukosaji wenu tunaka kuunganisha nguvu zote tatu (Jamiiforums, Fikrapevu na Wenu Mtiifu) kufanya kijarida hiki huru na cha bure cha "Kumekucha" kuwa sehemu ya mazungumzo ya kila wiki kwenye maofisi, migahawa, kwenye basi na popote. Na utafanya mema sana kama una uwezo wa kuchapa japo nakala moja au zaidi na kugawa bure... we do this part.. you do yours..
Kama halipo kwenye Kumekucha, then its NOT NEWS!
siyo kila ukionacho ni msalaba, hebu angalia dirisha la chumbani kwako utaona alama ya msalaba au misalaba mingi imepishana. Si vizuri kubeza kazi za wengine kama kuna dosari msahauri na si kubeza au yanakugusa yaliyomo kwenye kijarida? SO mimi najitolea kesho naprint copy 10 na nitaingia nazo kwenye daladala na kutoa kwa atakeyehitaji kusoma. WINO NA PRINTA NI VYANGU MWENYEWE HAPA NYUMBANI.Hakikisha printer na wino unaotumia ni wako na si wa tajiri yako!
siyo kila ukionacho ni msalaba, hebu angalia dirisha la chumbani kwako utaona alama ya msalaba au misalaba mingi imepishana. Si vizuri kubeza kazi za wengine kama kuna dosari msahauri na si kubeza au yanakugusa yaliyomo kwenye kijarida? SO mimi najitolea kesho naprint copy 10 na nitaingia nazo kwenye daladala na kutoa kwa atakeyehitaji kusoma. WINO NA PRINTA NI VYANGU MWENYEWE HAPA NYUMBANI.
Sijaona alama ya msalaba its just graphic, does it unnerve(sp) you ff ? If so why so ? If not why mention it ? Lakini hunshangazi honestly!
<br />Hakuna kitu kama hicho dirishani kwangu, labda sikutengenezesha mimi hili dirisha!<br />
<br />
Sasa ule unataka kukataa kuwa sio msalaba? sema wazi.
<br />
<br />
u'er sick down
Sometimes I do believe you dont believe in what you are saying......!!!Hicho kijarida ni cha kidini? mbona kufungua tuu page ya mwanzo kabisa kushoto nimekumbana na msalaba?
Vipi? si ungetuambia tu kuwa unataka tukusaidie kusambaza misalaba! Unanshangaza.
Hakuna kitu kama hicho dirishani kwangu, labda sikutengenezesha mimi hili dirisha!
Sasa ule unataka kukataa kuwa sio msalaba? sema wazi.
Umesomeka mkuu.utakiona vipi kama hujakiweka?