doh!!mi navutaa mafegi sio fegi maana ni moja mbiliii,nakunywaaa ulabu[tilalilaa]japo weekends spcl tu.kwa hiyo sivutiii warembo?
mi naonaaa ukitaka kumvutia mwanamke BE U NOT FAKE.aaaaaaaaaaah!!ilaa dreadlocks zangu kichwani na umachnooo umenifanyaa nimeowa mzungu[masai camp]
hahahahah mkuu na mpaka sasa hivi wapo na ukiweka etna na pale via via mambo yanakuwa super
Ila hivyo ni vigezo vyake bana kuna wengine hatuna hivyo ila tunakubalika tuu