Ungejua dasilamu nimepajua juzi usingesema!! Alafu mnanikumbusha ngararimu....
"ngararimu" duh noma sana hizo wala usinikumbushe nikaanza kutamani kwenda mndenyi bure hapa
Ungejua dasilamu nimepajua juzi usingesema!! Alafu mnanikumbusha ngararimu....
"ngararimu" duh noma sana hizo wala usinikumbushe nikaanza kutamani kwenda mndenyi bure hapa
Ni wa..... ummm ummm wap..... marafiki?!
Kama ulikuwepo vile...napenda kweli alafu wakati wa kusahihisha ndio kabisaaaaaaa!!<span style="font-family: comic sans ms">Alafu we sijui ticha? yaani kuwapa wenzio mtihani unapeeenda! Ni PM basi ntakuletea ngararimu nimekuja nazo!</span>!
Ni mchakato kabambe wa jinsi ya kumvutia mtoto wa kike hususani ukizingatia umuhimu wao katika kukamilisha furaha yetu ,wengi wameishi kutafuta wana wake wepesi kuwamaliza au vicheche , japo hakuna fomular brothers hizi ni TIPS MAKINI
1 ) vaa upendezavyo kama kibonge usivae ma oversize vaa nguo zina kushika kiaina mwili , pia vaa rangi za kung'aa kama red ,njano au meusi ya
kupendeza .
2 ) kuwa msafi always
3)tumia low tone uongeapo na wakike.
4)sikiliza 60% ongea 40%.
5)simama ukitaka kumsalimia
6)kamwe usifanye jambo linalo ashiria hisia za ngono ,mfano kupekesha kwa kidole ,kukonyeza,badala ya kusema anabambataa sema ameumbika .
7)kuwa on time hata mabo ya kipuuzi ,mfano akiulizia movie mpe kwa muda uliotamka
8) kuwa mcheshi kwa rafiki zake kuzidi yeye.
9) wadau tuongezeane maujizzzz..............!
Alafu we sijui ticha? yaani kuwapa wenzio mtihani unapeeenda! Ni PM basi ntakuletea ngararimu nimekuja nazo!!
Kama ulikuwepo vile...napenda kweli alafu wakati wa kusahihisha ndio kabisaaaaaaa!!
Mmh ngararimu nataka sana ila kukuPM naogopa sana!!!
Du wakubwa nimejifunza mengi ingawa vingi nimejaribu but still niko single
<span style="font-family: comic sans ms">Ivi na wewe huwa unaogopa? Maana when i read you napata picha ya mwanamke jasiri sana sasa huku "kuogopa" mh! i dont think so.</span>
Usiende PM utaulizwa maswali mpaka utadeclare interest hapa
Usijali maswali best kama atanishinda kwa hoja pouwa tu nipo tayari!
ngararimu, umberere, kena, ngolowo, Mtondo.
1. Nitake radhi kwa kunipa option feki na ya kunidhalilisha
2. Kama wewe ni me then nakupongeza kwa utafiti makini maana nilitaka kujua kama unaongea from your personal experience (of being in that sexual category) kumbe ulipasi mtihani mahali fulani na sasa unatuelimisha...... lol. tutajitahidi.... Nasikia pia kama unavuta Fegi ndo sumu kabisa hawa viumbe (walio wengi) hawamaind.
ngararimu, umberere, kena, ngolowo, Mtondo.