telitaibi
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 551
- 106
Asante kwa mawazo mazuri sana mkuu. Ngoja na wengine wanipe mazuri kama ya kwako na nitayaweka vizuri kabisa kwake ilia baadaye asituletee matatizo ya mara mke vile mara hivi. Karibu tene kwa ushari baadaye mkuu. Umetoa mambo mazuri hapa.
hili nalo wazo zuri wa kimtazamo wa kiundani kidogo noted