Baada ya CCM kujisafisha na kuanza kukubalika sana kama enzi za Mwalimu, sasa kijana mwenye mvuto wa hali ya juu nchini tanzania Nape anategemea kufanya mikutano mikubwa mjini Arusha kuendeleza harakati. Nitawapa update.Nawasilisha
Huyu ni NAPE karudi kwa kujificha ila tumemjua pole sana ila mjivue magamba kwanzaBaada ya CCM kujisafisha na kuanza kukubalika sana kama enzi za Mwalimu, sasa kijana mwenye mvuto wa hali ya juu nchini tanzania Nape anategemea kufanya mikutano mikubwa mjini Arusha kuendeleza harakati. Nitawapa update.Nawasilisha
Hua sijifichi kama mtendaji wenu mkuu mwenye Ids kumi kidogo hapa! Hii thread aliyeanzisha ana ajenda yake niko Dodoma kikazi....Huyu ni NAPE karudi kwa kujificha ila tumemjua pole sana ila mjivue magamba kwanza
Mkuu mbona unajichanganya kama mtu aliyejipaka kinyesi? Anaenda kuimarisha chama au anaenda kuangamiza CDM?
Hua sijifichi kama mtendaji wenu mkuu mwenye Ids kumi kidogo hapa! Hii thread aliyeanzisha ana ajenda yake niko Dodoma kikazi....
Hua sijifichi kama mtendaji wenu mkuu mwenye Ids kumi kidogo hapa! Hii thread aliyeanzisha ana ajenda yake niko Dodoma kikazi....
Nape.....Hua sijifichi kama mtendaji wenu mkuu mwenye Ids kumi kidogo hapa! Hii thread aliyeanzisha ana ajenda yake niko Dodoma kikazi....
Hua sijifichi kama mtendaji wenu mkuu mwenye Ids kumi kidogo hapa! Hii thread aliyeanzisha ana ajenda yake niko Dodoma kikazi....
Bora umekuja kutoa clarification hapa!Hua sijifichi kama mtendaji wenu mkuu mwenye Ids kumi kidogo hapa! Hii thread aliyeanzisha ana ajenda yake niko Dodoma kikazi....
Nataka kuelewa zaidi hapo kwenye red:Baada ya CCM kujisafisha na kuanza kukubalika sana kama enzi za Mwalimu, sasa kijana mwenye mvuto wa hali ya juu nchini tanzania Nape anategemea kufanya mikutano mikubwa mjini Arusha kuendeleza harakati. Nitawapa update.Nawasilisha
Hahahaha Nape mimi wewe nishakutambua hata ujiite mfu. Huu oongo wanautumia sana wahindi. Ila angalia maana naona cheo chako anataka kuchukua nchemba. Unajua nini angalia maana mafisadi watakuzidi usipokuwa makini. Achana na sera za cdm safisha chama chako kwanza.Hua sijifichi kama mtendaji wenu mkuu mwenye Ids kumi kidogo hapa! Hii thread aliyeanzisha ana ajenda yake niko Dodoma kikazi....
Baada ya CCM kujisafisha na kuanza kukubalika sana kama enzi za Mwalimu, sasa kijana mwenye mvuto wa hali ya juu nchini tanzania Nape anategemea kufanya mikutano mikubwa mjini Arusha kuendeleza harakati. Nitawapa update.Nawasilisha
Baada ya CCM kujisafisha na kuanza kukubalika sana kama enzi za Mwalimu, sasa kijana mwenye mvuto wa hali ya juu nchini tanzania Nape anategemea kufanya mikutano mikubwa mjini Arusha kuendeleza harakati. Nitawapa update.Nawasilisha
Hua sijifichi kama mtendaji wenu mkuu mwenye Ids kumi kidogo hapa! Hii thread aliyeanzisha ana ajenda yake niko Dodoma kikazi.
Acha kulalama bala,Nashangaa Mods wanaiacha Thread hii iendelee kuwepo hewani Ilhali NAPE ameshajibu kwamba haendi Arumeru ila yupo Dodoma kikazi.......
Mbona zile ntingine za Rejao na TII wamezifuta fasta???.....
JF bana.....
Haya ndiyo mambo tusiyoyataka JF.......
Kwa hiyo Arumeru hutaenda kumnadi SIOI kisa ni zao la LOWASA? Kweli NAPE una wivu?
I see........Acha kulalama bala,
This is how you guys cry like litle puppies!
Ume-report hii post?
Nape alishakana ID yake, nape Ana ID nyingine kibao tu!
Kama amechafuliwa au nyie die hard wake mnaona ameonewa