tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 62
Wakuu natumai muu wazima.
Naleta hili ombi kwenu mnisaidie mawazo nisije kuta naingizwa mkenge...
Kuna mtu anataka kuniuzia plot ambayo iko kwenye hatua za mwisho kuwa surveyed michoro nimeiona lilikuwa ni shamba sasa ameamua kulifanyia survey na kuliuza hebu nisaidieni kimawazo zaidi kuna kipindi cha nyuma niliona kwenye TV wananchi wa huko kimbiji wakiilalamikia serikali kunyanganywa maeneo yao Je kuna mtu yeyote hapa anajua vizuri kuhusu haya maeneo ya Kijaka Kimbiji kigamboni na ni kilometer ngapi kutoka ferry naomba mnishauri kabla sijakinunua.
Asante nawakilisha...
Naleta hili ombi kwenu mnisaidie mawazo nisije kuta naingizwa mkenge...
Kuna mtu anataka kuniuzia plot ambayo iko kwenye hatua za mwisho kuwa surveyed michoro nimeiona lilikuwa ni shamba sasa ameamua kulifanyia survey na kuliuza hebu nisaidieni kimawazo zaidi kuna kipindi cha nyuma niliona kwenye TV wananchi wa huko kimbiji wakiilalamikia serikali kunyanganywa maeneo yao Je kuna mtu yeyote hapa anajua vizuri kuhusu haya maeneo ya Kijaka Kimbiji kigamboni na ni kilometer ngapi kutoka ferry naomba mnishauri kabla sijakinunua.
Asante nawakilisha...