britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 30,000
- Thread starter
- #61
Wa busara noma toka anasomaMzee wa busara noma tangu anasoma alooo
Wa busara noma toka anasomaMzee wa busara noma tangu anasoma alooo
Asante mkuu, mulemuleNampenda mpenda Nani- Mnyalu ft Nature.
Humo Kibra katisha kwenye chorus
kote kaua hakuna alikoharibu ndo mana siweki yoyote hapa. necha muachen kama alivyo
Kwenye Simuelewi chorus aliimba Josylin..Nature alipewa verse tu!!Wanaburudani habari zenu,
Mziki wetu kuna vionjo fulan vya zaman vinakosekana,
Hasa kwenye kiitikio ungemkuta dully Sykes, nature au q chief
Hebu tuanze na juma nature,
1. Radhia
2. Mzee wa busara
3. Ya Leo Kali
4. Ofisi miguu . manzese crue
5. Mamy
6. Narudi kijijini
7. Demu simwelewi
8. Niaje hatupatani
9. Inaniuma sana
10.kamua
11. Zari la mentali
12. Dance with me
13. Sonia
14. Akwelina
15. Aa wapi by nature
Je ni kiitikio gan alikaa sawa, hebu tupia hapa ngoma moja ya nature kibra msitu wa vina
PLEASE UPLOAD MUSIC AMBAO CHORUS ULIIPENDA HAPA
Kweli lakin na nature alipitisha kwa undaniiiKwenye Simuelewi chorus aliimba Josylin..Nature alipewa verse tu!!
Demu huyu hapa eti dia kati yangu na huyu bwege sir nature unampenda nani, demu akajibu NATUREEEEEENaskia una siku ya tatu unanisaka mwenzio
Yes mi naomba watu wamtambue huyu juma natureSijui kama kipo nlichowah chukia ila akwelina kiliko balaaaa