mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wabunge wengi wa CCM 70% ya wote walianza kupiga kampaini mapema sana kuanzia kwenye kura za maoni, walitumia pesa nyingi kutoa misaada midogo midogo kama vile harambee ya kujenga mashule, mazishi, kuleta maji huko vijijini mwao, ili wapate tiketi ya kupitishwa kwenye kura za maoni. Fedha nyingi zimekopwa kwenye mabenki, watu binafsi na wafanyabiashara.
Wabunge wengi waliofanya hivyo wengi wako hoi kwakuwa wanadaiwa sana, hata haya magari waliyokopa ni mzigo mkubwa sana.
kwa hiyo amna jinsi nyingine ni kuwakamua wananchi wake bila huruma, wakiwaonea huruma watahaibika wao kwa kuwa mikopo mingi inawakaba ndio maana wabunge makini kama wa chadema, hawakufanya hivyo kwa kuwa walijihamini ndio maana hata wao hili wanalipinga, hila mmoja wa wabunge Mh. Shibuda aliingia katika anguko hilo akiwa CCM kwenye kura za maoni hivyo kupingana na posho kutampelekea kuaribikiwa, na yuko ki maslahi zaidi kuliko watu wake.
Kingine ni kuwa wabunge wengi wazee walizoea raha na starehe sana, ndio maana sasa hivi wanaona vijana wenye nia ya kuikomboa nchi yao zidi ya Mabeberu ya Kitanzania, wanaona wanawaharibia sana, hivyo wanajitahidi sana kukusanya posho wamalizie muda wao kwakuwa kasi ya sasa hawaiwezi tena kwani wengi hawajui ni kwanini wako bungeni, michango na mipango ya kuendeleza nchi hawamo kabisa, ndio maana zomea zomea na malalamiko mengi kuwa bunge limeharibika yanatokea sana , kwa kuwa kwenye zama zao ndiyo mzee ndiyo ilikuwa inatawala.
Mwisho enyi wabunge itazame Tanzania yetu jinsi ilivyoachwa mifupa, enyi wabunge vijana epukana na vizee vipenda posho, tumikia wananchi wako waliokupa ajira na uwakilishi, jitahidi kula mulo mmoja kama sie chini ya dola 2 msiwe na vitambi , pambaneni mpaka kieleweke. Karibu tena tusherekee Tanganyika mpya .
Wabunge wengi waliofanya hivyo wengi wako hoi kwakuwa wanadaiwa sana, hata haya magari waliyokopa ni mzigo mkubwa sana.
kwa hiyo amna jinsi nyingine ni kuwakamua wananchi wake bila huruma, wakiwaonea huruma watahaibika wao kwa kuwa mikopo mingi inawakaba ndio maana wabunge makini kama wa chadema, hawakufanya hivyo kwa kuwa walijihamini ndio maana hata wao hili wanalipinga, hila mmoja wa wabunge Mh. Shibuda aliingia katika anguko hilo akiwa CCM kwenye kura za maoni hivyo kupingana na posho kutampelekea kuaribikiwa, na yuko ki maslahi zaidi kuliko watu wake.
Kingine ni kuwa wabunge wengi wazee walizoea raha na starehe sana, ndio maana sasa hivi wanaona vijana wenye nia ya kuikomboa nchi yao zidi ya Mabeberu ya Kitanzania, wanaona wanawaharibia sana, hivyo wanajitahidi sana kukusanya posho wamalizie muda wao kwakuwa kasi ya sasa hawaiwezi tena kwani wengi hawajui ni kwanini wako bungeni, michango na mipango ya kuendeleza nchi hawamo kabisa, ndio maana zomea zomea na malalamiko mengi kuwa bunge limeharibika yanatokea sana , kwa kuwa kwenye zama zao ndiyo mzee ndiyo ilikuwa inatawala.
Mwisho enyi wabunge itazame Tanzania yetu jinsi ilivyoachwa mifupa, enyi wabunge vijana epukana na vizee vipenda posho, tumikia wananchi wako waliokupa ajira na uwakilishi, jitahidi kula mulo mmoja kama sie chini ya dola 2 msiwe na vitambi , pambaneni mpaka kieleweke. Karibu tena tusherekee Tanganyika mpya .