Kiingereza..

hio ya did you saw mbona iko correct?,au na mie nikapige msasa chiinglish changu?lol
Tayari TANMO ameijibu hapo chini.
siyo sahihi Neema, sahihi ni did + present tense (do, go, see, talk, say. etc)

Kingilish ni noma aisee,hakuna wakati kilinitesa km wakati wa presenatation pale chuo ukichanganya na ile hofu mara nyingi nilikua nachanganya tenses mgogoro ulikua kwenye matumiz ya did,do na done!
Cantalisia, Kiingereza utata mtupu. Haya mambo ya regular na irregular verbs sijui wameyapata wapi.
Kwa nini iwe walk - walking - walked na isiwe do - doing - doed (hahaha).
Kuna siku zamani nilibandika uzi juu ya UCHIZI WA LUGHA YA KIINGEREZA

Bado huwa ninashangazwa na matumizi ya owe, na huko nyuma nilikuwa ninapata tabu, hivi sasa ninaitumia sahihi kwa sababu tu wenyewe wanataka iwe hivyo.
Katika hali ya kawaida,
She loves me = Ananipenda, lakini
She owes me = Ninamdai
Kweli Kizungu kizunguzungu
 
Mpaka wakati huu nachanganya kuandika neno "whether" sometimes naandika "wheather" au weather! Nilimkosoa jamaa aliandika neno "owed" nikamwambia ni "owned" kumbe alikua sahihi. Lol
 
@mammamia

jana nilikuwa kwenye dhifa ya kitaifa ya kampuni moja
mara mzito wa akawa anatumia maneno kama
I eated . . .
I seated . . .

Mie nikabaki nashangaa tu, huku nimekata kauli kabisa
 
hihhihiiiiiiiiiiii hapo nahisi ulishika mdomo....


@mammamia

jana nilikuwa kwenye dhifa ya kitaifa ya kampuni moja
mara mzito wa akawa anatumia maneno kama
I eated . . .
I seated . . .

Mie nikabaki nashangaa tu, huku nimekata kauli kabisa
 
1 kutofautisha neema na musa ka ni wachumba au ndugu nilikuwa sijui kiingere.
2 Siku nipo kidato cha 5 kitu geography najib swali kitu badala ya layers nkatupia kitu lairs sikujb swal tena mpk namaliza cha 6.
3 question tag ilikuwa i am walking mi nikajibu amn't i? Nlipewa konz na mwalimu uhuchu loh!
4 she took a book nkajib tookn't she?
 
@mammamia

jana nilikuwa kwenye dhifa ya kitaifa ya kampuni moja
mara mzito wa akawa anatumia maneno kama
I eated . . .
I seated . . .

Mie nikabaki nashangaa tu, huku nimekata kauli kabisa

Aah, Kongosho wewe! Ulipokata kauli hawakukuitia ambulance?
 
nilikata kauli ya maneno, nikafungulia ya misosi.

Sijui T-bone, mara chicken breast
sijui butter nan, akhah, nikawa bize na msosi kuliko hai tebo.

Aah, Kongosho wewe! Ulipokata kauli hawakukuitia ambulance?
 
nilikata kauli ya maneno, nikafungulia ya misosi.

Sijui T-bone, mara chicken breast
sijui butter nan, akhah, nikawa bize na msosi kuliko hai tebo.

kongs kongrats...
unaua aise...kwi kwiiii
 
@mammamia

jana nilikuwa kwenye dhifa ya kitaifa ya kampuni moja
mara mzito wa akawa anatumia maneno kama
I eated . . .
I seated . . .

Mie nikabaki nashangaa tu, huku nimekata kauli kabisa

mbona hayo maneno kama ya fulani ivi
 
Kiingereza chenye kutumia maneno kwa mfano 'kama ningemwona Juma ningefurahi sana' - 'if i could have seen Juma, i could have been very happy' kilikuwa kinanishinda kiasi kwamba nikawa nakwepa kujijengea mazingira ya kuyatumia hayo maneno kabisa..
"If I saw Juma I would have been very happy"
 
1 kutofautisha neema na musa ka ni wachumba au ndugu nilikuwa sijui kiingere.
2 Siku nipo kidato cha 5 kitu geography najib swali kitu badala ya layers nkatupia kitu lairs sikujb swal tena mpk namaliza cha 6.
3 question tag ilikuwa i am walking mi nikajibu amn't i? Nlipewa konz na mwalimu uhuchu loh!
4 she took a book nkajib tookn't she?

Teh teh teh teh teh teh teh teh teh............................................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom