MTAMBOKITAMBO
Senior Member
- Jun 2, 2011
- 194
- 39
Nimekuwa nikichekeshwa sana na stand up comedies za kiingereza na nadhani za kiswahili hazibambi,hata movies pia ni hivyohivyo,mnaonaje wadau?Lugha yetu si tamu kama ya wazungu ama tunakosa ubunifu wa maneno?:confused2: