EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Huyu jamaa inaelekea hakwenda shule kabisa na alipata bahati tu ya kuwa karibu na watu wanaozungumza,inafurahisha sana ila ujumbe umefika
Kwani kwenda shule ni kujifunza Kiingereza? Inawezekana jamaa kaenda shule na kichwani zimo, sema hajasoma kiingereza.