Kingereza ni lugha tu kama zilivyo lugha nyingine. Tatizo ni kwamba wapo waliojijengea ya kuwa anaeongea kiingereza ni msomi, na lazima atakuwa na hela ambapo ni ujinga mtupu!!
Ok,Nashukuru kwa swali lako,Kuna msanii langa alishawahi flow hiyo line:
"SHukurani kwa nyerere alicheza utadhani pele,kuendeleza kiswahili,mikoani na mbele mbele,Tunamuendekeza mzungu wakati tuna shida tele,Kingeleza bila hela ni sawa na kupiga kelele"-LANGA
<br />Ok,Nashukuru kwa swali lako,Kuna msanii langa alishawahi flow hiyo line:<br />
<br />
"SHukurani kwa nyerere alicheza utadhani pele,kuendeleza kiswahili,mikoani na mbele mbele,Tunamuendekeza mzungu wakati tuna shida tele,Kingeleza bila hela ni sawa na kupiga kelele"-LANGA
Ni kweli jamani??naomba mawazo yenu!!
Asbh njema