jovitha mussa
Member
- May 2, 2012
- 75
- 35
:Cry: Nachukia sana napowaona Bungeni mnapiga kelele KUPINGA HUJUMA NA UONEVU lakini ninyi ndio watu wa kwanza kushindwa KUAJIRI na KULIPA stahiki za watumishi wenu kama KATIBU na DEREVA. Wengi wenu mnajiendesha na kuweka mfukoni pesa za madereva, mnawalipa MAKATIBU NA MADEREVA PESA KIDUCHU. Watoto wao wakishindwa kwenda shule, kula inavyotakiwa kwanini msiitwe WASALITI??? lakini MTOTO wako unampeleka shule kwa pesa alizotakiwa apate mtumishi wako. Ndo uzalendo huo???? Mnatuangusha