Huu ugonjwa gani tena? Una jina la kizungu kweli? Head fever?
.......
We yanakuhusu nini? Wapimwe wasipimwe utafaidika na nini?ni sawa na mtoto aandamane na mabango kumzuia baba yake asipitie bar kupata moja moto moja baridi baada ya kutoka ofcn badala ya kukaa ndani na kusoma,mind your own business.
Eti zinazotafunwa ni hela zetu?wamekubrainwash mpaka ela za serikali wanazonunulia magari ya serikali unasema yenu,mbona huwa yanakupita stand ukiwa unasubiri daladala kama ni ya kwenu?
Pole sana, yawezekana hata elimu ya upili hujaipata. Hivi huwezi kujua kwamba shughuli za serikali zinaendeshwa na kodi za wananchi?Eti zinazotafunwa ni hela zetu?wamekubrainwash mpaka ela za serikali wanazonunulia magari ya serikali unasema yenu,mbona huwa yanakupita stand ukiwa unasubiri daladala kama ni ya kwenu?
Hakuna haja ya sisi kuandamana hao wabunge kama hawataki kupimwa wenyewe ndio wanatakiwa wagome kupimwa, watampima Makinda peke yake.
ndugu zangu, nchi hii ni kama imeingiwa na laana! Spika wa bunge anataka madaktari wa kuwapima afya wabunge watoke apollo, india. Mbunge wa nzega, dk. Kigwangallah amepinga. Wabunge kadhaa wamepinga pia. Lakini inaelekea makinda ni kama vile ana 10% ndani ya ujio huo wa madaktari. Ameshupalia suala hilo kwa nguvu zote.
Ushauri wangu: Watanzania wote, bila kujali itikadi na imani zetu, tushikamane kupinga upuuzi huu kwa nguvu zote. Makinda akilazimisha, tuhakikishe kuwa tunaandaa mabango ya kutosha, na hata kuwazuia kabisa hao madaktari kutua hapa nchini. Ujio wao ni fedha nyingi sana kutoka kwa walipa kodi. Isitoshe, hii ni fedheha kubwa sana kwa madaktari wetu ambao shida yao ni vifaa tu! Tukiendekeza tabia hii ya kuleta madaktari kuwatibu viongozi, kamwe huduma zetu za afya hazitaboreshwa. Tushikamane kama tulivyofanya kwenye fao la kujitoa.
Nawasilisha.