Mafao ya kujiondoa PPF and the like hawajaongelea huko?
Madaktari tunao ila hawana vitendea kazi! CT-scan ya muhimbili imekufa,ubingwa bila vitendea kazi is nothing.....
Spika anajua madaktari wetu hawana morali na pia wengi wameikimbia nchi....
Madaktari tunao ila hawana vitendea kazi! CT-scan ya muhimbili imekufa,ubingwa bila vitendea kazi is nothing.
Jamani hivi kweli tunaipeleka wapi hii nchi yetu?nadhani kuna viongozi hawana uchungu kabisa na rasilimali za nchi hii,kiufupi hakuna haja ya kuleta wataalam Madaktar from India kwani hapa Tanzania hayo yanawezekana.Lusinde ana kichaaa nadhani yeye na bi Kiroboto.Tuipende nchi yetu na tujiepushe na matumiz mabaya ya pesa JK amka mbona unakua kama umetoka Msoga Leooo.