Kigwangalla ampiga vijembe Bashe baada ya kumshinda uchaguzi wilayani Nzega

chikakatata

JF-Expert Member
Feb 27, 2012
220
98
[h=5]Hivi ndiyo alivyoandika kwenye ukurasa wake wa FaceBook:--

"Hamisi Kigwangalla
[/h]4 hours ago




"Uchaguzi Mkuu wa CCM Wilaya ya Nzega umemalizika salama na tumepata viongozi mahiri. Ni imani yangu tukiwapa ushirikiano wa kutosha CCM sasa itakuwa moja, imara na yenye kusonga mbele. Hongereni wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Nzega kwa kung'oa kwa kiasi kikubwa vigogo na waasisi wa siasa za ufuasi na wenye kufanya siasa za kumridhisha mtu mmoja tu, pia kwa kuwakwamisha wengi wa wafuasi wa siasa hizo na kuingiza majembe ya ukweli! Mmedhihirisha pesa peke yake si kigezo cha kushinda uchaguzi, mmefanya kweli. Nawashukuruni nyote kwa kufuata na kutumia ushauri wangu kwamba tujenge CCM moja imara, kusiwe na watu wa Kigwangalla na wala wa Selelii, kuwe na wanaCCM wamoja...mlinipa faraja ya ushindi na pale mliponibeba juu juu niliogopa kwamba msije mkawa mmedhamiria kwenda kunitupa, ila nakushukuruni sana hamkufanya hivyo badala yake mlishukuru kwa ushauri wangu..."

"Mara baada ya fununu za matokeo ya uchaguzi kuwa wazi kuna watu wawili maarufu walizimia, na walipozinduka waliangua vilio na hawajaonekana Nzega tena...tunawapa pole na kuwatakia quick recovery huko waliko! Huo ndiyo ushindani...na sisi tunawaambia kuwa wasihofu kitu watatendewa haki siku zote katika chama hiki na katika uongozi huu. Malengo yetu ilikuwa ni kuondoa watu wa hovyo, wachumia tumbo na wanaofanya kazi kwa maelekezo ya mtu mmoja tu na sasa kuweka watu makini na mahiri watakaokisimamisha chama, hata kama itamaanisha kuniadhibu mimi pale itakapobidi...Chama Kwanza, Mtu baadaye! Hakuna mtu maarufu na wa maana ndani ya CCM kuliko CCM yenyewe. Nimesikia wanataka kuikimbia nchi, tunawasihi wasifanye hivyo, waendelee tu kuwa waadilifu na waaminifu kwa chama na kwa nchi na ipo siku mambo yao yatawanyookea tu!"



 
Hivi ndiyo alivyoandika kwenye ukurasa wake wa FaceBook:--

"Hamisi Kigwangalla


4 hours ago




"Uchaguzi Mkuu wa CCM Wilaya ya Nzega umemalizika salama na tumepata viongozi mahiri. Ni imani yangu tukiwapa ushirikiano wa kutosha CCM sasa itakuwa moja, imara na yenye kusonga mbele. Hongereni wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Nzega kwa kung'oa kwa kiasi kikubwa vigogo na waasisi wa siasa za ufuasi na wenye kufanya siasa za kumridhisha mtu mmoja tu, pia kwa kuwakwamisha wengi wa wafuasi wa siasa hizo na kuingiza majembe ya ukweli! Mmedhihirisha pesa peke yake si kigezo cha kushinda uchaguzi, mmefanya kweli. Nawashukuruni nyote kwa kufuata na kutumia ushauri wangu kwamba tujenge CCM moja imara, kusiwe na watu wa Kigwangalla na wala wa Selelii, kuwe na wanaCCM wamoja...mlinipa faraja ya ushindi na pale mliponibeba juu juu niliogopa kwamba msije mkawa mmedhamiria kwenda kunitupa, ila nakushukuruni sana hamkufanya hivyo badala yake mlishukuru kwa ushauri wangu..."

"Mara baada ya fununu za matokeo ya uchaguzi kuwa wazi kuna watu wawili maarufu walizimia, na walipozinduka waliangua vilio na hawajaonekana Nzega tena...tunawapa pole na kuwatakia quick recovery huko waliko! Huo ndiyo ushindani...na sisi tunawaambia kuwa wasihofu kitu watatendewa haki siku zote katika chama hiki na katika uongozi huu. Malengo yetu ilikuwa ni kuondoa watu wa hovyo, wachumia tumbo na wanaofanya kazi kwa maelekezo ya mtu mmoja tu na sasa kuweka watu makini na mahiri watakaokisimamisha chama, hata kama itamaanisha kuniadhibu mimi pale itakapobidi...Chama Kwanza, Mtu baadaye! Hakuna mtu maarufu na wa maana ndani ya CCM kuliko CCM yenyewe. Nimesikia wanataka kuikimbia nchi, tunawasihi wasifanye hivyo, waendelee tu kuwa waadilifu na waaminifu kwa chama na kwa nchi na ipo siku mambo yao yatawanyookea tu!"




UNAJUAJE Mwananchi ??? Haukufuatilia ??? WOTE WALIENGULIWA NA CC - DODOMA
 

UNAJUAJE Mwananchi ??? Haukufuatilia ??? WOTE WALIENGULIWA NA CC - DODOMA
hilo nalifahamu vizuri sana, baada ya wao kuenguliwa na nec wote walipanga safu zao na inavyoonyesha hapa ni kwamba watu wa Kigwangalla ndiyo walioshinda nafasi zote nyeti na hapa anampiga vijembe mwenzake
 
hilo nalifahamu vizuri sana, baada ya wao kuenguliwa na nec wote walipanga safu zao na inavyoonyesha hapa ni kwamba watu wa Kigwangalla ndiyo walioshinda nafasi zote nyeti na hapa anampiga vijembe mwenzake


Kwahiyo REKEBISHA kiswahili CHAKO; KUWA KIGANGWALLA alichaguliwa... Kumbuka Mwenyekiti J.K

KIkwete alisema Wanotaka kuhama wahame alimaanisha KIGANGWALLA sababu ya kiduduku chake cha

kutaka kufanya mkutano baaada ya siku 2 sababu jina lake liliondolewa... MWAMBIE UBUNGE ana Mwaka

MMOJA na NUSU baada ya hapo AJARIBU UDAKTARI kama kweli anauweza... KIKWETE HAMTAKI TENA...

ni KIGEUGEU...
 


Kwahiyo REKEBISHA kiswahili CHAKO; KUWA KIGANGWALLA alichaguliwa... Kumbuka Mwenyekiti J.K KIkwete alisema

Wanotaka kuhama wahame alimaanisha KIGANGWALLA sababu ya kiduduku chake cha kutaka kufanya mkutano

baaada ya siku 2 sababu jina lake liliondolewa... MWAMBIE UBUNGE ana Mwaka MMOJA na NUSU baada ya hapo

AJARIBU UDAKTARI kama kweli anauweza... KIKWETE HAMTAKI TENA... ni KIGEUGEU...

kwani kikwete baada ya 2015 bado atakua na nguvu?
 


Kwahiyo REKEBISHA kiswahili CHAKO; KUWA KIGANGWALLA alichaguliwa... Kumbuka Mwenyekiti J.K

KIkwete alisema Wanotaka kuhama wahame alimaanisha KIGANGWALLA sababu ya kiduduku chake cha

kutaka kufanya mkutano baaada ya siku 2 sababu jina lake liliondolewa... MWAMBIE UBUNGE ana Mwaka

MMOJA na NUSU baada ya hapo AJARIBU UDAKTARI kama kweli anauweza... KIKWETE HAMTAKI TENA...

ni KIGEUGEU...
nadhani atasoma salamu hizo yeye mwenyewe naye si mjumbe hapa ?
 
amezungumza vizuri sana, anazungumzia wafuasi wa lowasa, kuwa kumbe hata pesa ya lowasa kuna mahali haifanyi kazi kama nzega
 
nadhani atasoma salamu hizo yeye mwenyewe naye si mjumbe hapa ?

YEYE ni MJUMBE wapi ? Sasa HIVI AMECHANGANYIKIWA... Anahitaji zaidi ya pyschogist

kwasababu amevunda
Alitaka Kumwingiza Mkewe CCM-NEC na Mkewe ana kazi NZURI

ya UDAKTARI AMREF... Sasa Unaona Walikuwa Wanataka wale PESA ZA BURE

KIVULINI...

 
Mbona kuna gazeti leo(sikumbuki jina) limereport kwenye heading yake kuwa Bashe kashinda nafasi fulani ndani ya chama, sijajua ni nafasi gani(labda mkutano mkuu)
 

OH YEAH; atakuwa bado MWENYEKITI WA CHAMA KITUKUFU CHA CCM... MPAKA 2017

umesahau na ni mama Salma ndie aliyempa hicho cheo cha UBUNGE.... alishika MKIA unakumbuka ?

doh :doh::doh::doh::doh::doh: nilisahau kwamba sultani ndiye anayeamua nani awe wapi
 
doh :doh::doh::doh::doh::doh: nilisahau kwamba sultani ndiye anayeamua nani awe wapi

Oh Yeah... Na Kijana amechezea neema... anakuwa MBWATUKAJI lakini inakuwa rahisi kusahau alikotoka...

NDIO MATATIZO YETU... Sasa BAHATI na NEEMA ikifungika ni MILANGO YOTE; alikuwa anadonyoa

WAPINZANI na
kuikera CCM bila kupinga MAHESABU... Ndio Ubaya wa SIASA zetu - UKIDONDOKA

CHALI ndio BASI tena... kuna stages NYINGI KURUDI kwenye SIASA... Unamkuta KIJANA anatembea

Barabarani anaongea MWENYEWE haujuni ni kwa nini na ELIMU YAKE...
 

Oh Yeah... Na Kijana amechezea neema... anakuwa MBWATUKAJI lakini inakuwa rahisi kusahau alikotoka...

NDIO MATATIZO YETU... Sasa BAHATI na NEEMA ikifungika ni MILANGO YOTE; alikuwa anadonyoa

WAPINZANI na
kuikera CCM bila kupinga MAHESABU... Ndio Ubaya wa SIASA zetu - UKIDONDOKA

CHALI ndio BASI tena... kuna stages NYINGI KURUDI kwenye SIASA... Unamkuta KIJANA anatembea

Barabarani anaongea MWENYEWE haujuni ni kwa nini na ELIMU YAKE...

unfortunately ulichosema ndio ukweli wenyewe......... dogo amenyea karibia kila kambi, haeleweki na siajabu hajielewi
 
unfortunately ulichosema ndio ukweli wenyewe......... dogo amenyea karibia kila kambi, haeleweki na siajabu hajielewi


Yeah, Hajielewi... Sasa Baada ya Jina kukatwa Anatangaza kwenye FB kuwa WAPINZANI WOOTE MACHO na

MASIKIO Yalikuwa DODOMA na ni IMANI yake CCM itashinda kwa NGUVU 2015; Upinzani Hauna lolote...

Halafu jana na leo anajenga MAKUNDI ndani ya CCM kuteuana ili watu Wenye UHUSIANO na MPINZANI

wake
Wasipate UJUMBE wa CCM-NEC; Haya anaweka MAKUNDI NDANI YA CCM... Badala ya kuwa kimya

na Kuonyesha HESHIMA iliyomponza aondolewe ni Mwaka Mmoja na Nusu Umebaki Uchaguzi wa Ndani ya

CCM
Kuchagua Wabunge Unaanza... Unadhani kwa sasa hivi JINA lake halipo; Sidhani MWENYEKITI

atamteua... NDIO HAO VIJANA KIKWETE ALIOTAKA WAONGOZE CHAMA na SERIKALI ??? NAONA

KASHTUKA...
 
Back
Top Bottom