Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Hapo alishaona ubunge ataukosa anajihami,lazima tuchukue jimbo,chezea CDM wewe
Yamedhaminiwa na nani hayo maandamano? Familia ya raisi?
Yamedhaminiwa na nani hayo maandamano? Familia ya raisi?
Kigwangala ungetulia ungeambulia hata Unaibu Wizara ya Afya kwa staili hii ni kuipinga Serikali ya CCM imeuiba Mgodi