huyu bulaya kamwacha mume wake kwa ajili ya vigogo wa ccm walimgeuza mke wao pale rumumba sasa unategemea awe na mawazo gaini mtu aliyebebwa? Na huyu mruundi naye ana dissappoint baba yake mdogo shehe rukala yuko bujumbura alredy. Cdm oyeeeeeeeeeeeNa badala yake aliandaa mkutano wa hadhara kuwa-please wapigakura wake. To his suprise walikuja na mabango ya kumponda na kumuulizia maandamano yako wapi?