nimeangalia jicho la habari star tV leo asubuhi,nimesikitishwa na mwanaJF mmoja anaitwa Kigwangala(mbunge wa nzega) kuupotosha uma kwa makusudi kabisa. anaseme CHADEMA walisema wangeandika katiba mpya ndani ya siku 100.....na mbunge wa viti maalumu anaitwa BULAYA nae anaunga mkono kuwa ndivyo CDM walivyoahidi....waliahidiwa wapi hawa wenzetu????mbona uongozi wa CDM ulifafanua wakati wa kampeni kuwa wangeanzisha mchakato ndani ya siku 100 na siyo kumaliza kila kitu ndani ya siku hizo.....
nimekuwa nasoma mabandiko ya mheshimiwa huyu kwa umakini hapa jamvini nikiamini ni mtu makini sana kumbe ni another Tambo Hizi of its kind. kwa nini utumie muda mwingi kupotosha jamii ya watz wanaomuamini kiasi hicho??????
amenikera kwa kuwa anatumia propaganda hizo kujustify uharaka walionao CCM kuburuza wananchi kuhusu mchakato huu wa katiba kwa kulinganisha kuwa mtapata katiba nzuri kwa kuwa ccm itaandika kwa miaka minne mizima sio kama CDM waliosema siku 100!!!!
why?why? whyyyyyyyyyyyyyyyyy?
napata wasiwasi mtu akiwa ccm anazuiwa kufikiri kwa kina ila anaandaliwa cha kusema na akina Tambo Hizi
nimekuwa nasoma mabandiko ya mheshimiwa huyu kwa umakini hapa jamvini nikiamini ni mtu makini sana kumbe ni another Tambo Hizi of its kind. kwa nini utumie muda mwingi kupotosha jamii ya watz wanaomuamini kiasi hicho??????
amenikera kwa kuwa anatumia propaganda hizo kujustify uharaka walionao CCM kuburuza wananchi kuhusu mchakato huu wa katiba kwa kulinganisha kuwa mtapata katiba nzuri kwa kuwa ccm itaandika kwa miaka minne mizima sio kama CDM waliosema siku 100!!!!
why?why? whyyyyyyyyyyyyyyyyy?
napata wasiwasi mtu akiwa ccm anazuiwa kufikiri kwa kina ila anaandaliwa cha kusema na akina Tambo Hizi