ludoking
Senior Member
- Oct 5, 2008
- 124
- 71
Kama mdau nimefuatilia kwa makini mjadala wa bajeti ya Wizara ya Afya tangu iwasilishwe na Waziri. Nimeguswa na mchango wa mh Hamisi wakati anajibu hoja ya 'msingi' ya Mbunge wa Kigoma Kusini Mh Kafulila. Kimsingi naona Hamisi alichangia hoja hiyo kama "mwanamagamba' na siyo kama mteteaji wa watu wa Afya.
Kwa unyeti wa kazi za Wizara ya Afya kupewa 2% ya bajeti nzima si kitu ambacho Kigwangala ungesimama na kutetea. Nadhani Kigwangala anafahamu mambo mengi sana na kero nyingi sana za wadau wa Afya. Kama Mh Hamisi anakumbuka, Moja ya agenda katika mgomo wetu wa Interns wa mwaka 2005 pale Muhimbili (Tukiongozwa na kauli mbiu ya "kama noma na iwe noma") ilikuwa ni kukosekana kwa scheme of service ya Graduate nurses ambapo mpaka sasa bado wanaendelea kulipwa mshahara wa diploma nurse.
Kigwangala una mkumbuka yule bwana wa Physiotherapy pamoja na masters yake bado analipwa mshahara wa diploma sababu ikiwa ni kukosekana kwa scheme of service kwa kada hiyo. Hayo ni mambo ya msingi ambayo ungekomaa nayo bungeni. Kuendelea kudandia hoja za akina Kafulila, Tindu Lisu, Zitto zitaondoa mantiki ya wewe kuwepo hapo bungeni kama Daktari.
Namshukuru Mama Hilda Ngoyi kidogo jana aligusia vitu kama hivyo. Ni mbunge mmoja tu Dr Taarab ambaye katika Bunge la tisa alisismama kidete kutetea jambo hilo lakini wanamagamba wakawa wana mbeza.
Tuliambiwa na Wizara tutie Rasmi ambayo nidiyo imesaidia kubadilishwa kwa titles za Nurse pamoja na kuandaa scheme of services na salary scale ambayo iko katika Waraka mpya wa utumishi wa umma, lakini still watu bado wanalipwa kwa kukadiriwa.
Hayo ndiyo mambo ya Kuuliza Bungeni. Ukiendekeza Uanamagamba utatoka kwenye mstari kama kweli nia yako ni upiganaji. Kutetea hoja kama mwanamagamba utakuja kupoteza dignity yako
Kwa unyeti wa kazi za Wizara ya Afya kupewa 2% ya bajeti nzima si kitu ambacho Kigwangala ungesimama na kutetea. Nadhani Kigwangala anafahamu mambo mengi sana na kero nyingi sana za wadau wa Afya. Kama Mh Hamisi anakumbuka, Moja ya agenda katika mgomo wetu wa Interns wa mwaka 2005 pale Muhimbili (Tukiongozwa na kauli mbiu ya "kama noma na iwe noma") ilikuwa ni kukosekana kwa scheme of service ya Graduate nurses ambapo mpaka sasa bado wanaendelea kulipwa mshahara wa diploma nurse.
Kigwangala una mkumbuka yule bwana wa Physiotherapy pamoja na masters yake bado analipwa mshahara wa diploma sababu ikiwa ni kukosekana kwa scheme of service kwa kada hiyo. Hayo ni mambo ya msingi ambayo ungekomaa nayo bungeni. Kuendelea kudandia hoja za akina Kafulila, Tindu Lisu, Zitto zitaondoa mantiki ya wewe kuwepo hapo bungeni kama Daktari.
Namshukuru Mama Hilda Ngoyi kidogo jana aligusia vitu kama hivyo. Ni mbunge mmoja tu Dr Taarab ambaye katika Bunge la tisa alisismama kidete kutetea jambo hilo lakini wanamagamba wakawa wana mbeza.
Tuliambiwa na Wizara tutie Rasmi ambayo nidiyo imesaidia kubadilishwa kwa titles za Nurse pamoja na kuandaa scheme of services na salary scale ambayo iko katika Waraka mpya wa utumishi wa umma, lakini still watu bado wanalipwa kwa kukadiriwa.
Hayo ndiyo mambo ya Kuuliza Bungeni. Ukiendekeza Uanamagamba utatoka kwenye mstari kama kweli nia yako ni upiganaji. Kutetea hoja kama mwanamagamba utakuja kupoteza dignity yako