Acha maskhara mkuu.Ni pepo, likitoka utaongea vizuri.
nilipokuwa mdogo nilikuwa nacho baada ya kufikisha miaka 9 kilikwisha chenyewe..keep trust in God
Ndiyo, inawezekana. Siku ukifumaniwa na mke wa mtu!Ninavyofahamu kigugumizi hurithiwa,je inaweza kutokea mtu akakipata nje ya kurithi?
Teh teh..,mume wa mtu je?Ndiyo, inawezekana. Siku ukifumaniwa na mke wa mtu!