Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
chanzo changu kimeniambia kuwa katika uchaguzi wa mwaka 2010 majimbo yote ya mkoa wa kigoma yalidondokea upinzani.
Mchezo mchafu ulifanywa katika yale majimbo machache yaliyotangazwa kuchukuliwa na ccm.
Kama kawaida masanduku ya kura yalibadilishwa na yale yenye kura halali kutiwa kiberiti.
Muhabarishaji wangu ananiambia kuwa haikuwa rahisi kuiba kura bila kushirikisha mawakala wa vyama pinzani.
Muhabarishaji mwingine ananiambia yeye kama msimamizi wa kituo kimojawapo cha kupigia kura alijitolea fedha mfukoni mwake ili kuwanunulia maji mawakala wa upinzani.kwa upande wa ccm,mawakala wake walionekana wamewezeshwa vilivyo,huku wana chupa ya maji kule wana chupa ya soda.hii inapelekea mawakala wa upinzani wenye njaa kurubuniwa kirahisi na kutoa mwanya wa kuchakachua.
Mchezo mchafu ulifanywa katika yale majimbo machache yaliyotangazwa kuchukuliwa na ccm.
Kama kawaida masanduku ya kura yalibadilishwa na yale yenye kura halali kutiwa kiberiti.
Muhabarishaji wangu ananiambia kuwa haikuwa rahisi kuiba kura bila kushirikisha mawakala wa vyama pinzani.
Muhabarishaji mwingine ananiambia yeye kama msimamizi wa kituo kimojawapo cha kupigia kura alijitolea fedha mfukoni mwake ili kuwanunulia maji mawakala wa upinzani.kwa upande wa ccm,mawakala wake walionekana wamewezeshwa vilivyo,huku wana chupa ya maji kule wana chupa ya soda.hii inapelekea mawakala wa upinzani wenye njaa kurubuniwa kirahisi na kutoa mwanya wa kuchakachua.