Kigoma: Mwamko huu unatoka wapi?

Siyo majimbo yote....KGM mjini alichukua Peter Serukamba CCM....Ila Halmashauri ya Manispaa KGM- Ujiji ndiyo ipo chini ya CHADEMA.......... Mayor wa KGM ni Kijana mchapakazi tena ni TELECOM ENGINEER.... I guess atakuja kuwa our MP coming 2015.......
 
Kilichofanyika Kigoma kimewahi tokea mkoani Kilimanjaro mwaka 1995. Leo hii 80% ya wabunge wa CCM Kilimanjaro ni mawaziri hao ni Chami, Mathayo David, Mwanri na Prof. Maghembe. Ni mbunge Kilango tu ndiye siyo waziri!

Majimbo yaliyobaki huko Kilimanjaro yako chini ya upinzani hususn CHADEMA na TLP. Hii ina maanisha nn? Mkoa unaosumbua sana ccm uko likely kutoa mawaziri wengi. Huu ni mtizamo wangu.

Hesabu hiyo hapo juu ina maana kubwa zaidi kwani ni sawa na kusema 100% ya wabunge Wachaga wa CCM toka Kilimanjaro ni mawaziri! Hao ni Chami na Mwanri na 66% ya wabunge Wapare wa CCM toka Kilimanjaro ni mawaziri! Hao no Magembe na Mathayo Davi Mathayo

Nawapa heko jamaa zangu wa Kigoma kwa kuchagua upinzani kwani kwa umbumbu wa CCM very soon wataanza kurip profit ya kuchagua wapinzani!

Wenzetu wa Kaskazini walishaliona hili la ujinga wa CCM mapema ndio maana daima wanawapiga bao CCM!
 
Muha mmoja anauwezo wa kubishana na abiria 80 ambao ni behewa zima...haijalishi yuko right or wrong. Ila sifa yao kuu wako committed na mambo wafanyayo. Ukikuta ni mlokole ni mlokole kweli...vivyo hivyo kws footballers..jambazi...wachawi n.k

We umetoa sifa kabambe za waha, nadhani pia ndio walokole wa mwanzo hapa Dar, ila kwani Kigoma kuna waha tu?!
 
ni miezi kadhaa imepita tangu uchaguzi mkuuu ufanyike. majimbo ya ubunge karibia yote yamekwenda kwa vyama pinzani. sidhani kama kuna mkoa ambao hili limeshawahi kutokea hapo kabla.je huu mwamko au uthubutu wa kufanya maamuzi haya unatokana na nini? je ni elimu, maendeleo ya kiuchumi, au aina ya watu na desturi za watu (makabila) yaishiyo huko? kwa nini hayo hayatokei mikoa mingine. naomba wadau mnisaidie kwa hili?
Ni kuwa hawa ndugu zetu kwa kuwa pembezoni mwa nchi hii,kwa miaka mingi kiuchumi walisahaurika sana na hii sirikali ya SISIEM! Hivyo basi shida nyingi walizokuwa nazo zikawafanya waichoke SISIEM na kuamua kuwapa upinzani,na hawa magamba wanalifahamu sana hilo ndo maana saiz wanapewa ahadi lukuki!
Hiyo haitoshi,jamani na mikoa mengine ya namna hiyo amkeni. Shinyanga for the 1st time wameshaamka,big up!
 
Kilichofanyika Kigoma kimewahi tokea mkoani Kilimanjaro mwaka 1995. Leo hii 80% ya wabunge wa CCM Kilimanjaro ni mawaziri hao ni Chami, Mathayo David, Mwanri na Prof. Maghembe. Ni mbunge Kilango tu ndiye siyo waziri!

Majimbo yaliyobaki huko Kilimanjaro yako chini ya upinzani hususn CHADEMA na TLP. Hii ina maanisha nn? Mkoa unaosumbua sana ccm uko likely kutoa mawaziri wengi. Huu ni mtizamo wangu.

Hesabu hiyo hapo juu ina maana kubwa zaidi kwani ni sawa na kusema 100% ya wabunge Wachaga wa CCM toka Kilimanjaro ni mawaziri! Hao ni Chami na Mwanri na 66% ya wabunge Wapare wa CCM toka Kilimanjaro ni mawaziri! Hao no Magembe na Mathayo Davi Mathayo

Nawapa heko jamaa zangu wa Kigoma kwa kuchagua upinzani kwani kwa umbumbu wa CCM very soon wataanza kurip profit ya kuchagua wapinzani!

Wenzetu wa Kaskazini walishaliona hili la ujinga wa CCM mapema ndio maana daima wanawapiga bao CCM!

Typical Tanzanian ideas, kwani ni lazima sehemu itoke mawaziri ndipo shughuli za maendeleo zifanyike?. Kama ni kweli basi hili ni balaa kubwa tena kubwa sana inamaanisha nchi haina taratibu na mipango bali mambo yanaendeshwa kisiasa tu na matakwa ya watu, kujuana ndiyo maana watua hawaishi wasiwasi kwenye mambo ya ukabila na udini ni kwa sababu kuna hiyo mianya ya kujipendelea na kupendeleana. Kwenye jamii inayotenda haki haijarishi nani katoa waziri au katoa katibu mkuu au katoa mbunge wakuongea au wa kukaa kimya.
 
Muha mmoja anauwezo wa kubishana na abiria 80 ambao ni behewa zima...haijalishi yuko right or wrong. Ila sifa yao kuu wako committed na mambo wafanyayo. Ukikuta ni mlokole ni mlokole kweli...vivyo hivyo kws footballers..jambazi...wachawi n.k

Anabishana hata na waha wenzake 80? Halafu haya madai yako si ya kweli, huo ubishi ndo umeanza mwaka 2010 na wakautumia kuchukua upinzani?
 
Back
Top Bottom