Kigoma: Mbona ahadi ya Rais kuibadilisha Kigoma kuwa Dubai hatekelezwi?

Kwani Dubei kuna kitu gani cha tofauti kuizidi Kigoma? Unavyoiona kigoma ndivyo hivyo hivyo ilivyo Dubei. Dagaa kwa Wingi na mawese vipo. Madaraja kama la mto malagarasi, uwanja wa ndege si mnao nyie watani zangu. Juzijuzi mmejengewa stendi mpya ya mabasi kwa fedha za Wedi Benki. Wamewawekea na kipaza sauti hapohapo. Mawaidha mnayapata kwa raha zenu. Kuweni na shukrani bana.
 
E="Precise Pangolin, post: 15863393, member: 72456"]Bado haijawa dubai lakini kwa sasa tunasubiri viwanda tulivyo ahidiwa[/QUOTE]
Labda viwanda vya beer
 
ha ha ha ha ha ha ha nchi hii bwana KIGOMA kama DUBAI , MTWARA kama DUBAI he he he he . SIASA Hizi we ACHA TU.
 
Wananchi wengi wa Mkoa wa Kigoma wamekasirishwa na Ahadi za Rais ambazo wameshaona hazitekelezeki za kubadilisha mkoa wao kuwa kama dubai kushindikana wamesema wanataka angalau barabara kwasababu swala la kuifanya kuwa dubai haliwezekaniki hata wakipewa miaka mia chini ya uongozi dhaifu wa CCM hilo ni ndoto. hata waliposikiliza hotuba ya waziri wa Aridhi prof Anna Tibaijuka hakuongelea suala kama hilo kilicho waudhi zaidi hata mji mpya wa kigamboni umetengewa asilimia chache mno kwenye budget. sasa wanashangaa kilichowaleta wakina Nape na team yake nini? badala ya kupeleka makandarasi.
source ni mimi mwenyewe nipo kigoma
Hivi nyie waha vipi? Mko nchi gani? Bado mnategemea blaa blaa za Kikwete zitekelezwe? Kwa taarifa yenu hsyo maisha mnayoishi ndiyo mko Dubai hivyo.
 
Huyu jamaa sijui anajua siku zinaganda?yaani hata sielewwi atakuja kuomba tena kura kwa sura gani?
 
Back
Top Bottom