wadau leo mchana msanii wa muziki Bob junior amekiri live kwamba alilipwa m7 cash ili amfanyie shoo kigogo mkubwa wa kike hapa nchini ambaye ni mwanasiasa mkubwa anayeishi masaki tena wakiwa wawili tu ndani ameongea mengi ila amesema katu hatomtaja jamani mwenye jina aliweke hapa source You heard Clouds