OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Hivi mtu kama huyu, kwenye kamati ya maadili alielezea vyanzo vyake vya mapato? Na vikilinganishwa vinaendana na kodi anayolipa, na pesa anazomwaga? Naomba kuiamsha kamati ya maadili ya viongozi.
hii kamati ni kama boksi tupu halina kitu ndani wala usiitegemee ni sisi tuchukue maamuzi mengine tu!!