Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa arusha amepandishwa kizimbani leo,akiunganishwa na kesi inayowakabili viongozi na wabunge wa chama hicho,kuhusu tukio la tarehe 5.
source tafadhali
Wapigania haki waendendelee kuonewa hakuna tatizo. Hukumu ya ujambazi huu wa CCM 2015.
Mimi naona 2015 ni mbali sana, we have to something kuoko taifa hili..Wapigania haki waendendelee kuonewa hakuna tatizo. Hukumu ya ujambazi huu wa CCM 2015.
kadiri Hawa wajinga wanavyowakamata viongozi wa CHADEMA ndivyo hivyo hivyo CHADEMA inavyoimarika na kupata sifa mbele za watu. Wajue/watambue kuwa wanaisafishia CHADEMA njia....si si em bye bye 2015!!!!!!!!!!!!!HEREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE:clap2:
Wapigania haki waendendelee kuonewa hakuna tatizo. Hukumu ya ujambazi huu wa CCM 2015.
source tafadhali